JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wizara ya Fedha yatoa elimu ya usimamizi wa mnyororo wa ugavi kwa wahariri wa vyombo vya habari

Josephine Majura na Joseph Mahumi, WF, Morogoro Serikali kupitia Wizara ya Fedha, imefanya mafunzo kwa Wahariri wa Vyombo vya Habari kwa lengo la kuwajengea uelewa kuhusu masuala ya usimamizi wa mnyororo wa ugavi katika sekta ya umma. Akizungumza wakati akifungua…

Oktoba kura zote kwa Rais Samia – Ummy Mwalimu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Kazi nzuri na miradi tele ya maendeleo iliyotekelezwa katika Jimbo la Tanga Mjini imetengeneza deni kwa wananchi wa Tanga Mjini dhidi ya Rais Dk. Samia Suluhu ambaye pia ni Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano…

Bodi REB yaihakikishia ushirikiano kampuni ya kuzalisha na kusambaza umeme ya Matembwe Njombe

📌Inazalisha umeme wa kilowati 550 kwa kutumia maporomoko ya maji ya Mto Kiyepa 📌Inahudumia kaya 2,463 katika vijiji 8. Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu ameihakikishia ushirikiano…

Meatu mtaendelea kupata miradi mikubwa ya maendeleo ikiwemo nishati – Dk Samia

📌Asema baada ya Vijiji vyote Meatu kupata umeme kasi inaelekea vitongojini 📌 Ataka umeme utumike kuongeza thamani ya mazao, kilimo na ufugaji. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassani amesema Serikali imeendelea kupeleka maendeleo katika…

Waziri Silaa aielekeza TCRA kupiga kambi kiwanda cha kutengeneza simu Raddy Electronics Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia na Habari, Jerry Silaa (Mb), ameielekeza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kupiga kambi katika kiwanda cha kutengeneza simu janja cha Raddy Electronics kilichopo Mkuranga, mkoani Pwani, kwa lengo la kufuatilia kwa…