Category: MCHANGANYIKO
Viongozi mbalimbali wawasili viwanja Bunge kushiriki ibada maalum ya kuaga mwili wa hayati Ndugai
Viongozi mbalimbali wakiwasili katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma kwaajili ya kushiriki ibada maalum ya kuaga mwili wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Job Yustino Ndugai leo tarehe 10 Agosti 2025 ambapo Mheshimiwa Dkt….
Mwili wa Spika wafikishwa nyumbani kwake Ndegengwa Dodoma
Mwili wa Spika Mstaafu wa Bunge, Hayati Job Yustino Ndugai, umefikishwa nyumbani kwake Njedengwa Jijini Dodoma kwa ajili ya taratibu za kifamilia jioni leo tarehe 09 Agosti, 2025. Shughuli ya kumuaga Hayati Ndugai itafanyika kitaifa kesho tarehe 10 Agosti, 2025…
Mwenge watua Maswa watembelea miradi 7 ya gharama ya sh.bil. 2.7
Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Maswa Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025 watua Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu, ambapo utatembelea jumla ya miradi ipatayo 7 itakayogharimu jumla ya sh.bil.2.7, kwa mzungukio wa umbali wa km.147. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Wilaya ya…
TRA yabuni mbinu za ukusanyaji mapato, wafanyabiashara mtandaoni, winga watakiwa kulipa kodi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imetaja mbinu itakazotumia kuzuia upotevu wa mapato yatokanayo na biashara za mtandaoni ikiwemo kutumia wanunuzi pamoja na mawinga kuwapatia taarifa. Hayo yalisemwa leo Agosti 9, 2025 na Kamishna…
TMA yanyakua kombe maonesho ya Nanenane 2025
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imenyakua kombe kupitia maonesho ya Nane Nane 2025 yaliyofanyika katika Mkoa wa Morogoro. Ushindani wa TMA kupitia kundi la ushindani lililohusisha taasis za Serikali upande wa Mawakala na Mamlaka za Serikali nchini, umeifanya…
Watoto wawili wafariki kwa kupigwa na radi
Watoto wawili wamefariki dunia na bibi yao kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi kufuatia mvua iliyoambatana na upepo mkali na radi iliyonyesha jana katika Wilaya ya Ilemela, jijini Mwanza. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi Mkoa wa…