Category: MCHANGANYIKO
Waziri Silaa kuunda timu ya wataalamu wa ardhi kufanya uhakiki wa mipaka, historia Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Pwani WAZIRI wa ardhi, Jerry Silaa amewahakikishia wakazi wa Mbala,Pingo -Chamakweza Chalinze mkoani Pwani kuwa atapeleka timu ya watalaamu wa ardhi ili kufanya uhakiki wa mipaka katika mgogoro uliodumu kwa miaka 25 ambao bado haujapata suluhu. Aidha…
Rais Nyusi kufungua maonesho ya Sabasaba kesho
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi atatoa hotuba ya ufunguzi wa maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu Sabasaba kwa kutumia…
Mipira ya mikononi milioni 86.4 kuzalishwa na Kiwanda cha Idofi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Imeelezwa kuwa kiwanda cha kuzalisha mipira ya mikono kinachomilikiwa na Bohari ya Dawa (MSD) kilichopo Idofi, wilayani Makambako mkoani Njombe kimepiga hatua kubwa ambapo kinazalisha mipira ya mikono milioni 86.4 sawa na asilimia 83 4…
Daraja la J.P Magufuli la Kigongo – Busisi kuanza kutumika Desemba 30
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Daraja la J.P. Magufuli (Kigongo – Busisi) lenye urefu wa Kilomita 3.0 na barabara unganishi Kilomita 1.66 linatarajiwa kuanza kutumika Tarehe 30 Disemba 2024 likiunganisha Barabara Kuu ya Usagara – Sengerema – Geita zenye urefu…