JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waogeleaji 70 wenye mahitaji maalum kuchuana Oktoba 12

Chama cha mchezo wa kuogelea kwa waogeleaji wenye mahitaji maalumu (Tanzania Para Swimming Association/ TPSA) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wanategemea kuendesha mashindano ya pili ya kitaifa ya kuibua vipaji vya waogeleaji wenye mahitaji maalumu. Mashindano hayo yanatarajiwa kufanyika jumamosi…

Mtoto aliyepotea msituni siku 26 apatikana akiwa hai

Na Isri Mohamed Mwanafunzi Joel Malick, wa kidato Cha pili katika Shule ya Sekondari Bagara iliyopo mkoani Manyara aliyepotea katika mlima wa Kwaraa walipokwenda kufanya utalii wa ndani pamoja na masomo kwa vitendo, amepatikana akiwa amedhoofika huku mwili ukiwa na…

Watatu waenda jela kifungo cha maisha kwa kusafirisha dawa za kulevya

MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imewahukumu kifungo cha maisha jela watu watatu wakiwemo wapenzi wawili kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroine zenye uzito wa kilo 129.86. Hakimu Ephery Kisanya alitoa hukumu…

Gwiji wa Man United Robson aongoza safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro

Gwiji wa Manchester United, Bryan Robson, maarufu kwa jina la “Captain Marvel,” leo anaongoza kundi la wasafiri 23 katika safari ya ajabu ya kupanda mlima mrefu zaidi barani Afrika, Mlima Kilimanjaro. Safari hiyo, ambayo itashuhudia kundi hilo likikwea mita 5,895…

Waziri Kombo ahimiza ushirikiano na nchi marafiki ujikite katika biashara

Tanzania imesisitiza umuhimu wa kukuza ushirikiano wa kibiashara na uwekezaji na nchi marafiki, ikiamini kuwa hiyo ndiyo njia bora zaidi ya kukuza uchumi kwa manufaa ya wananchi. Kauli hiyo imetolewa Oktoba 09, 2024 jijini Helsinki, Finland na Waziri wa Mambo…

Tanzania, Finland zimesainia hati ya makubaliano kuendesha mashauriano ya kisasa

Tanzania na Finland zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) kuhusu kufanya rasmi Mashauriano ya Kisiasa kati ya nchi hizo mbili. Uwekaji saini huo ulifanyika leo tarehe 09 Oktoba, 2024 jijini Helsinki na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika…