Category: MCHANGANYIKO
Mbwana : Kufunga au kufungua maduka yenu ni maamuzi yenu
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMediaDar es Salaam Mwenyekiti wa wafanyabiashara Kariakoo Martini Mbwana ameacha kitendawili kwa wafanyabishara suala la kufunga na kufungua maduka ni maamuzi yao baada ya kuwapatia mrejesho wa kikao walichozungumza baina yao na viongozi wa Serikali akiwemo Waziri wa…
LHRC : Serikali ipunguze gharama za uendeshaji nchi, maisha ya kifahari
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia, Dar es Salaam Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa rai kwa Serikali kupunguza gharama za uendeshaji wa nchi ikiwemo maisha ya kifahari kwa viongozi wa kitaifa huku wananchi wakilia ukali wa hali ngumu kutokana…
Ofisi ya Makamu wa Rais yasajili miradi 9,061 ikiwemo ya hifadhi ya mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imesema imesajili miradi zaidi ya 9,061 ikiwemo ya hifadhi ya mazingira yenye thamani ya zaidi ya shilingi trilioni 37.55. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano…
Mkuu wa chuo Kikuu Huria akanusha kuvuja kwa mitihani, 17 wadakwa wakijifanya wanafunzi
Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Chuo Kikuu Huria (OUT), Profesa Elifasi Bisanda amekanusha kuvuja kwa mitihani na kuwepo kwa vitendo vya udanganyifu wakati wa mitihani cmya muhula uliopita. Aidha pia ameonya kwa wale wote wenye nia…
Serikali yakunwa na Fema kusaidia kupunguza ukatili kwa makundi balehe
Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato SERIKALI imezitaka taasisi zisizokuwa za kiserikali kuwa mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia, rushwa, ngono, dawa za kulevya, mauaji pamoja na mimba za utotoni hasa kwa kundi balehe. Hatua hiyo inatokana…
Polisi Rukwa yamshikilia Anifa kwa tuhuma za kumtupa mtoto chooni baada ya kujifungua
Na Israel Mwaisaka, JamhuriMedia, Rukwa Jeshi la Polisi mkoani Rukwa linamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Anifa Mwanawima (36) mkazi wa Kijiji Cha Mashete wilayani Nkasi Kwa kosa la kumtupa mtoto wake chooni baada ya kujifungua. Kwa mujibu wa…