JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kampuni kubwa zasaini mkataba kuuzia dhahabu BoT

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Benki ya Tanzania (BoT) imesaini mikataba na Kampuni za Uchimbaji Madini za Geita Gold Mine (GGM), Buckreef Gold Ltd na Shanta Ltd ya kununua kiasi kisichopungua asilimia 20 ya dhahabu inayozalishwa. Huo ni utekelezaji wa…

THRDC yampongeza Jaji mkuu mpya George Masaju

Na Aziza Nangwa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umempongeza Jaji wa Rufani George Mcheche Masaju kwa uteuzi wake nakuapishwa kuwa Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taarifa hiyo kwa vyombo vya habari imesema Mahakama…

REA kuendelea kuwezesha waendelezaji wa miradi ya nishati vijijini

📌RC Njombe apongeza usimamizi wa miradi ya REA Wakala wa Nishati Vijijini (REA) utaendelea kutoa sapoti kwa waendelezaji wa miradi ya kuzalisha na kusambaza umeme kote nchini ili kuwezesha wananchi wengi kufikiwa na huduma bora ya nishati ambayo inachangia kuinua…

NHC yaanza kubadilisha sura ya Kariakoo, yavunja majengo yote chakavu

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limeanza rasmi utekelezaji wa mpango mkubwa wa kubadilisha sura ya eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam kwa kuvunja majengo yote chakavu na kujenga majengo ya kisasa yanayokidhi mahitaji ya sasa ya makazi, biashara…

Shule ya sekondari Mwanalugali kunufaika na msaada wa milioni 10 kutoka TMRC

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Taasisi ya fedha inayojishughulisha na umiliki wa nyumba kupitia mfumo wa mikopo (TMRC), imetoa msaada wa shilingi milioni kumi kwa ajili ya kutatua baadhi ya changamoto zinazoikabili Shule ya Sekondari Mwanalugali, iliyopo Kata ya Mwanalugali,…