Category: MCHANGANYIKO
Bolt yaona mabadiliko ya usafiri msimu wa kipindi cha sikukuu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Watanzania kwa kasi kubwa wanaanza kukumbatia utamaduni wa kusafiri ndani ya nchi, ingawa bado haujafikia kiwango au marudio ya mara kwa mara yanayoonekana katika mataifa ya Magharibi. Kwa mujibu wa Chama cha Kuendeleza…
TFS yapewa pongezi kwa kusaidia upandaji miti sekondari ya Nyambili–Nyambunda
Na Mwandishi Wetu, Kibiti Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Bungu, Mhe. Ramadhan Mpendu, ameongoza zoezi la upandaji miti katika Shule ya Sekondari Nyambili–Nyambunda jana, ikiwa ni sehemu ya kampeni endelevu ya…
Serikaki kutumia trilioni 1.18 ujenzi wa miundombinu ya barabara za wilaya
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Katika mwaka wa fedha 2025/26, Ofisi ya Rais – TAMISEMI kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini TARURA imepanga kutumia shilingi trilioni 1.18 kwa ajili ya ujenzi, matengenezo, ukarabati wa miundombinu ya barabara na usafiri…
REA kusambaza mitungi ya gesi zaidi ya 22,000 Pwani
📌Kila wilaya kunufaika mitungi ya gesi 3,255 Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeitambulisha kampuni ya Manjis Gas ambayo imepewa jukumu la kusambaza mitungi ya gesi 22,785 itakayouzwa kwa bei ya ruzuku ya asilimia 50 katika Mkoa wa Pwani. Hayo yamebainishwa…
CAG : Mashirika kadhaa ya umma yamesaini mikataba bila kufuata ushauri wa kisheria
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) amebaini kuwa mashirika kadhaa ya umma yamesaini mikataba yenye thamani kubwa bila kufuata ushauri wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali wala maafisa wa sheria wa ndani. Mikataba hiyo, yenye jumla ya thamani…
Wasira akutana na Protase Kardinali Rugambwa
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amekutana na kufanya mazungumzo na Muadhama Kadinali Protase Rugambwa katika Jimbo Kuu Katoliki la Tabora. Wasira amekutana na Protase Kardinali Rugambwa. leo Aprili 16, 2025 katika Jimbo Kuu Katoliki…