JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waziri Mkuu atoa wito kwa wanaotelekeza wanawake

………..….. WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wadau wanaotekeleza afua mbalimbali za wanawake watumie taarifa na takwimu za sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 katika kuandaa mipango na mikakati ya uwezeshaji wa wanawake nchini. Mbali na hayo pia…

Sekta ya nyuki bado inakabiliwa na changamoto zinazotishia uendelevu wake – RC Dodoma

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkoa wa Dodoma una zaidi ya mizinga 18,000 ya nyuki yenye uwezo wa kuzalisha zaidi ya kilo 135,000 za asali kiwango ambacho kinatajwa kuwa bado ni kidogo ikilinganishwa na fursa za ufugaji nyuki zilizopo mbapo zaidi ya…

DART mbioni kuanza mfumo wa kadi janja kuachana na matumizi ya karatasi

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMediia Dar es Salaam WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) leo wamefunga mafunzo kutoka kwa wataalamu wa idara ya Tehama ambayo yamejikita katika kadi janja zitakatumika katika mfumo wa nauli kabla ya abiria kuiingia kwenye geti anatumia kadi…

Serikali iungwe mkono udhibiti magonjwa yasiyo ya kuambukiza

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Kibaha MEI 9 mwaka 2024 Tanzania imezindua kampeni ya awamu ya pili ya “Mtu ni Afya” baada ya ile ya kwanza kutamatika kwa mafanikio makubwa kutokana na baadhi ya magonjwa yaliyokuwa yakiwasumbua wananchi takribani miaka 50…

Afisa Tarafa Bwanku akagua miradi ya Rais Samia ya mil.89/- sekondari ya Karamagi

Mei 15, 2024, Afisa Tarafa wa Tarafa ya Katerero iliyoko Bukoba Mkoani Kagera Bwanku M Bwanku amefika Kata ya Mikoni kukagua baadhi ya miradi ya maendeleo inayotekelezwa pamoja na kusikiliza na kutatua kero ya Mwanamama Shakila Elius na aliyekuwa mumewe…

NEMC latoa siku 90 kwa hospitali, taasisi kuweka miundombinu sahihi ya kuchoma taka

Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa siku 90 kwa Hospitali na taasisi zote za afya kuhakikisha wanaweka miundombinu sahihi ya kuhifadhi na kuteketeza taka zitokanazo na huduma ya afya kwa kuzingatia matakwa ya sheria ya…