Category: MCHANGANYIKO
Rais Dkt Samia aongea na simu na Kanisa la WRM
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa Waumini wa Kanisa la The Word Reconciliation Ministries (WRM) kuendelea kufanya ibada za kw Ushirikiano kwa kumwomba Mungu ili awatimizie…
Halmashauri Kuu ya CCM Bagamoyo yampa tano Rais Samia kwa ukuaji kimaendeleo
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze HALMASHAURI Kuu ya CCM, Wilaya ya Bagamoyo,Mkoani Pwani ,imeelekeza viongozi wa chama kuanzia Matawi hadi kata waongeze nguvu katika kusimamia miradi na utekelezaji wa ilani kwenye maeneo yao. Aidha imewataka wanaCCM kuisemea Serikali kwa makubwa…
Baada ya ukaguzi Kidatu Dk Biteko atua kituo cha kupoza umeme cha Zuzu Dodoma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Baada ya ukaguzi wa matengenezo ya mitambo ya umeme Kidatu mkoani Morogoro leo tarehe 1 Aprili, 2024 Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko ametembelea na kukagua Kituo cha kupoza umeme cha…
Mwalimu,mwanafunzi washambuliwa na kuuawa wakiwa nyumbani kwao Mbeya
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya MWALIMU wa Shule ya Msingi Mbugani Wilayani Chunya aitwaye,Herieth Lupembe (37) na mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Isenyela, Ivin Tatizo (15) wameuwawa na vitu butu kichwani wakiwa nyumbani kwao Kijiji cha…
Polisi kuimarisha usalama uzinduzi wa mbio za mwenge Kilimanjaro
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Jeshi la Polisi-Kilimanjaro Jeshi la Polisi nchini limesema limejipanga vyema kuimarisha uzinduzi wa mbio za Mwenge ambazo zinazonduliwa Aprili 2,2024 mkoani Kilimanjaro. Hayo yamebainishwa na Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi CP Awadhi…
Wanaotorosha korosho kwenda nje ya nchi waonywa siku zao zinahesabika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, BODI ya Korosho Tanzania mkoani Tanga imewaonya wakulima wenye tabia za kutorosha Korosho kwenda kuuza nje ya nchi kuacha mara moja kufanya hivyo kwani siku zao zinahesabika kutokana na vyombo vya dola vinawatambua na watapokamatwa watashughulikiwa…