Category: MCHANGANYIKO
Mabasi mawili, lori vyateketea kwa moto, wawili wafariki Mlandizi
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Watu wawili wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa ,katika ajali iliyohusisha magari matatu likiweno bus kampuni la abiria New Force,Sauli na lori la mafuta kuteketea kwa moto alfajir ya Machi 28 eneo la Ruvu, Mlandizi…
Dk Shemwelekwa awafunda watumishi Kibaha
Na Byarugaba Innocent,JamhuriMedia, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha Dkt.Rogers Shemwelekwa amefanya kikao rasmi na watumishi kwa lengo la kufahamiana, kujitambulisha na kutoa mwelekeo kiutendaji. Dkt.Shemwelekwa aliyeteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan tarehe…
Mwenyekiti jela kwa kupokea hongo ya 60,000, ashindwa kulipa faini ya milioni 1
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kiteto MAHAKAMA ya Wilaya Kiteto, imemhukumu Mambe Mohamed Mambe , Mwenyekiti wa Kijiji cha Nasetan, Kata ya Engusero, Wilaya ya Kiteto Mkoa wa Manyara. Mshtakiwa ametiwa hatiani na kuamriwa kwenda jela miaka minne au kulipa faini…
Serikali yaja na mfumo kusaidia wahamaji walio katika mazingira hatarishi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa kushirikiana na Taasisi nyingine za Serikali pamoja na wadau inaandaa mfumo wa rufaa kwa wahamaji walio katika mazingira hatarishi nchini utakaosaidia kutoa…
Mabaraza ya Ardhi na nyumba yatende haki, kwani hakuna aliye juu ya sheria -RC Kunenge
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani ,Abubakar Kunenge ametoa rai kwa Mabaraza ya Ardhi na Nyumba kufanyakazi kwa kuhakikisha yanatenda haki kwa wananchi kwani hakuna aliye juu ya sheria. Aidha ameeleza kuwepo kwa mabaraza hayo ni…