JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Yanga Vs Mamelod, mzunguko ni bure

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Afisa habari wa klabu ya Yanga, Ali Kamwe ametangaza kuwa Rais wa Yanga, Hersi Said pamoja na Kamati yake ya Utendaji wamekubaliana kuwa mechi yao dhidi ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini itakayochezwa…

LAAC washtukia upigaji fedha ujenzi wa hospitali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imetoa maelekezo kwa watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo waliosimamia mradi wa ujenzi wa hospitali ya wilaya hiyo na kusema kuwa kamati…

Serikali yasisitiza umoja kwa Simba, Yanga

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo imewaonya baadhi ya Watanzania ambao wamekuwa na tabia ya kuzipokea na kuzishangilia timu ngeni zinapokuja kucheza na timu za Tanzania kuacha tabia hiyo kwani inarudisha nyuma juhudi…

Dk Mwinyi azindua fursa za uchimbaji mafuta na geai Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inapenda kuzialika kampuni zote za utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi kushiriki katika Duru ya kwanza . Rais Dk.Mwinyi amewakikishia wawekezaji wote wa sekta ya…

Hifadhi ya Taifa Saadan yatakiwa kuwa na mpango mahususi wa maeneo ya uwekezaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Sadani Kamati ya Kudumu ya Bunge Ardhi, Maliasili na Utalii imeiagiza Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa Saadani kuandaa mpango mahususi wa kuainisha maeneo yote ya uwekezaji ili kuvutia wawekezaji na kuiongezea hifadhi hiyo mapato. Kauli hiyo…

DK Mpango kumwakilisha Rais katika mkutano wa dharura SADC Zambia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Utatu wa Asasi mbili za Jumuiya…