Category: MCHANGANYIKO
Wanawake Kideleko wapanda miti bwawa la Kwamaizi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Handeni Ikiwa leo ni maadhimisho ya siku ya mwanamke duniani, wanawake wa Kata ya Kideleko katika Halmashauri ya Mji wa Handeni wametumia nafasi hiyo kupanda miti na kufanya usafi katika bwawa la maji la Kwamaizi katika…
ACT – Wazalendo chatangaza kujitoa kwenye Umoja wa Kitaifa
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha ACT Wazalendo kimetangaza kujitoa kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa kutokana na kutotekelezewa hoja zao tatu ikiwemo fidia kwa waliopata madhara katika uchaguzi 2020, kuundwa Tume ya Kijaji kuchunguza uvunjifu wa…
TRA yatoa tuzo kwa mwanamke kinara kulipa kodi nchi nzima
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kusherehekea siku ya Wanawake Duniani Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa tuzo ya mwanamke Mlipakodi namba moja Tanzania kwa mwaka 2023. Mwanamke huyo ni Zainab Addan Ansell ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa…
UWT yahamasisha wanawake kujisajili na umoja huo kidigitali
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kusherehekea Siku ya Wanawake dunia ambayo hufanyika Machi 8, kila mwaka, Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) umekuja na kampeni maalum ya kuhamasisha wanawake na wasichana kujisajili na umoja huo kielekloniki (Kidigitali). Akiitambulisha…
Ntibazonkiza aitwa Timu ya Taifa ya Burundi
Na Isri Mohamed Mchezaji wa Kimataifa anayekipiga katika klabu ya Simba SC Saido Ntibazonkiza ni miongoni mwa wachezaji 27 walioitwa kwenye timu ya taifa ya Burundi inayonolewa na kocha Etienne Ndayiragije. Kikosi hicho ni kwa ajili ya kujiandaa na michezo…