Category: MCHANGANYIKO
Serikali yaeleza jitihada inazochukua kuwezesha matumizi ya gesi kwenye magari
📌 Kapinga ataja msamaha wa kodi asilimia 25 kwa injini za magari yanayotumia gesi asilia iliyotolewa 2023/2024 📌 Aeleza Serikali ilivyojidhatiti kupeleka umeme kwenye maeneo yote nchini Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema kupitia Bajeti Kuu Serikali ya…
‘Uchumi wa buluu una faida kubwa’
Mkurugenzi wa Idara ya Uvuvi kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Mohamed Sheikh amesema Uchumi wa Buluu unafaida kubwa katika kuinua uchumi wa taifa hivyo kila mmoja anapopata fursa ya kutoa ujuzi wake anatakiwa kufanya hivyo kwa faida ya…
Waziri Kombo atembelea maonesho ya kimataifa ya Biashara CUBA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo tarehe 05 Novemba, 2024 ametembelea Maonesho ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea jijini Havana. Maonesho hayo yamewakutanisha wafanyabiashara wa ndani na Kimataifa ambao wanatangaza huduma na bidhaa zao…
Chande azindua misheni ya uangalizi wa Uchaguzi ya SEOM jijini Port – Louis
Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya SADC (SEOM) katika Uchaguzi Mkuu wa Mauritius Jaji Mkuu (Mstaafu) Mohammed Chande Othman, amezinduamisheni hiyo jijini Port-Louis, Mauritius, kwa niaba ya Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya SADC na…
Uraia pacha ni hatari kwa usalama wa taifa letu
Na John Haule, JamhuriMedia, Arusha Wengi tuliofika elimu ya sekondari tumejifunza kwa kiasi maana ya uraia na dhana ya uraia pacha( dual citizenship) na katika nchi yetu Tanzania uraia wa Tanzania unasimamiwa na sheria ya mwaka 1995 sura namba 357…
Benjamin Netanyahu amfuta kazi Yoav Gallant, Waziri wa Ulinzi
Katika hatua iliyoibua gumzo kubwa, Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ametangaza mabadiliko makubwa serikalini kwa kumfuta kazi Waziri wa Ulinzi, Yoav Gallant, na kumteua Israel Katz kuchukua nafasi hiyo. Hatua hii inakuja katikati ya mzozo unaoendelea Gaza, ambapo Netanyahu…





