Category: MCHANGANYIKO
Vijana 50 wapatiwa elimu ya mpiga kura
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Zaidi ya vijana 50 kutoka vyuo vikuu na sekta mbalimbali wamepatiwa elimu ya mpiga kura ili kuongeza uelewa kuhusu umuhimu wa kushiriki katika uchaguzi na kuchagua viongozi bora watakaoliongoza taifa kwa amani na…
Dk Mpango : Makumbusho ya kisasa ya Ngorongoro kukuza utalii wa kihistoria
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Karatu MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, amezindua rasmi Makumbusho ya Urithi wa Kijiolojia ya Ngorongoro–Lengai, yaliyogharimu zaidi ya Sh. bilioni 35 ambayo yanatarajiwa kuongeza kasi ya ukuaji wa utalii…
Serikali itaendelea kufanya mageuzi sekta ya kilimo – Majaliwa
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali imedhamiria kuendelea kufanya mageuzi katika sekta ya kilimo ili kuhakikisha Tanzania inaendelea kuwa kitovu cha uzalishaji wa chakula katika ukanda wa Afrika Mashariki. Amesema lengo la Serikali ni kuendelea kuimarisha usalama wa chakula,…
Serikali yaendelea kuwezesha wananchi kupata hati milki za ardhi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali kupitia Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeendelea kuwawezesha wananchi kupata hati milki za ardhi ili kuongeza kasi ya umilikishaji katika maeneo mbalimbali nchini. Uwezeshaji huo unafanyika kupitia mazoezi ya urasimishaji makazi…
Serikali yaahidi sheria rafiki kwa wawekezaji kufanikisha Dira 2050
Na Mwandishi wa OMH, Kibaha Serikali imeeleza dhamira yake ya kutengeneza sheria rafiki za uwekezaji zitakazoiwezesha kufikia uchumi wa kati wa juu kama ilivyobainishwa kwenye Dira 2050. Moja ya shabaha za Dira 2050 ni kuchochea ukuaji wa Pato la Taifa…
Mapessa Intertrade yapambania ujenzi viwanda vya uchenjuaji, kemikali Chunya
Si Lazima Uchimbe: Mapessa Yafungua Macho kwa Fursa Ndani ya Sekta ya Madini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Chunya Kampuni ya Uuzaji wa Vifaa na Kemikali za Uchenjuaji Madini Chunya, MAPESSA Intertrade Ltd imeiomba Serikali kuendelea kuhamasisha wadau na Wawekezaji kuanzisha…