Category: MCHANGANYIKO
Tutaendelea kuilinda Tanzania na usalama wa raia na mali zao – Rais Dk Samia
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 amehoji juu ya maoni ya baadhi ya watu kuwa nguvu zilizotumika kwenye kudhibiti vurugu zilizotokea Oktoba 29 (iliyokuwa siku ya uchaguzi…
Rais Samia : Walioandaa vurugu walidhamiria kuangusha dola ya nchi yetu
“Lililotokea (vurugu za Oktoba 29) ni tukio la kutengenezwa na walilolitengeneza walidhamiria makubwa, walidhamiria kuangusha dola ya nchi hii..” “Ukiangalia clip videos za nyuma zilizotokea, vijana wetu walifanywa makasuku na kuimbishwa kabisa yaliyotokea Madagascar yatokee na hapa, lakini ukimvuta kijana…
Kunenge : Bodaboda wote wapewe mafunzo ya usalama barabarani mkoani Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kisarawe Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameagiza mafunzo ya kuwajengea weledi maofisa usafirishaji (bodaboda) kuhusu usalama barabarani na sheria za usafirishaji kutolewa katika mkoa mzima. Aidha, amezitaka mamlaka husika, ikiwemo Jeshi la Polisi na…
Wananchi wa Ormekeke Ngorongoro waanza kunufaika na mradi wa maji
Wananchi wa Kitongoji ya Ormekeke Kijiji cha Nasipaoriong tarafa ya Ngorongoro wameanza kunufaika na mradi wa maji baada ya Serikali kupitia Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kuchimba kisima chenye uwezo wa kuzalisha lita 13,00 kwa saa na kujenga tanki lenye…




