JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

ACT – Wazalendo yadhamiria kufuatilia miswada waliyopeleka bungeni iwe sheria

Na Magrethy Katengu, JamhuriaMedia, Dar es Salaam Chama cha Act -Wazalendo kimesema kitahakikisha kinafuatilia miswada waliyopeleka bungeni hadi ipitishwe kuwa sheria ikiwemo kudai tume huru ya uchaguzi aliyepoteza kadi ya kura au kufutika alipie fedha apewe nyingine, Tume ya Uchaguzi…

Sebastian Haller: Shujaa wa Ivory Coast, Rafiki wa Februari

Na Isri Mohamed Baada ya Ivory Coast Kutwaa Ubingwa wa AFCON 2023 jina la Mchezaji Sébastien Haller Aliyefunga Bao la Ushindi Lililowapa Ubingwa Limetajwa sana kama shujaa wa Ivory Coast na rekodi yake na mwezi Februari.. Haller anaimbwa kama shujaa…

Rais Samia kuongoza mazishi ya Lowassa Februari 17

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuongoza Mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa yanayotarajiwa kufanyika Wilayani Monduli mkoani Arusha Jumamosi Februari 17, 2024. Awali Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alitangaza siku tano…

Eng.Sanga awafunda watumishi wa ardhi nchini

●Awataka kuwa wasuluhishi wa migogoro na sio chanzo Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga amewaasa watumishi wa Sekta ya Ardhi kote Nchini kujiepusha na tabia ya kuwa chanzo…

Bashungwa aipa mwezi mmoja kamati ya uwezeshaji wa wazawa sekta

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa mwezi mmoja kwa Kamati inayoandaa Mkakati wa kuongeza ushiriki wa Wazawa katika Miradi ya Ujenzi kukamilisha maboresho ya taarifa hiyo ili iweze kubeba maudhui yote ya Sekta ya Ujenzi na kuweza…