Category: MCHANGANYIKO
Serikali kushirikiana na TZLPGA ifikapo 2033, asilimia 80 ya Watanazania kuachana na mkaa
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Mamlaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesema itatoa ushirikiano na Chama cha Wafanyabiashara wa Gesi ya Kupikia Majumbani kwenye Nishati Safi Endelevu (TZLPGA) kimesema kitahakikisha ifikapo…
Breaking News, Edward Lowasa afariki dunia
Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa amefariki dunia hii leo, Februari 10, 2024 wakati akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dar es Salaam.. Taarifa ya kifo chake imetangazwa leo na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango….
Serikali yaweka mikakati kuhakikisha usalama wa mtoto mtandaoni
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar ea Salaam Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Makundi Maalumu imesema inakwenda kuweka Mkakati Madhubuti ikiwemo kufanya mapitio ya sheria na kanuni itakayokwenda kusaidia kudhibiti Ukatili wa watoto Mtandaoni. Ameyasema hayo leo Februari…
Kikwete: Changamoto Serikali Mtandao ziwekwe kwenye mpango mkakati wa taasisi
Na Zulfa Mfinanga, Jamhuri Media, Arusha Miongoni mwa changamoto zilizowasilishwa katika kikao kazi cha nne cha Serikali Mtandao (e-AGA) ni mifumo ya TEHAMA kutowasiliana na kuendelea kuwapo kwa udurufu wa mifumo. Katika hotuba ya Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti…
Katambi akabidhi ambulance, majiko 145 kwa makundi ya kijamii Shinyanga
Suzy Butondo,JamhuriMedia, Shinyanga Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Patrobas Katambi ambaye ni Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu amekabidhi gari la kubebea wagonjwa ‘ Ambulance’ na vitanda nane kwa ajili ya wagonjwa katika Hospitali…
Rais Samia kumjengea nyumba mtoto Alhaji
na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ikiwa ni siku moja tangu Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda kupokea changamoto ya kijana Alhaji Yahya Abdallah ambaye anafanya biashara ya kuuza ndizi ili kumsaidia mama…