Category: MCHANGANYIKO
Majaliwa : Hakuna nchi itakayoachwa nyuma
*Asema hayo ni maazimio ya nchi zinazounda kundi la G 77 na China Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Mkutano wa Tatu wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kundi la G77 na China umeazimia kwamba nchi hizo pamoja na China zitaendelea kuweka…
Bunge laipongeza Serikali kwa usimamizi mzuri wa kukabiliana na maafa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imeipongeza Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge na Uratibu kwa Usimamizi mzuri wa kukabiliana na Maafa nchini. Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa…
Dk Feleshi : Mawakili wa Serikali kila mmoja atimize wajibu wake
Na Mwamvua Mwinyi, jamhuriMedia, Pwani MWANASHERIA Mkuu wa Serikali Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi ametoa rai kwa mawakili wa Serikali , kila mmoja kutimiza wajibu wake na kufuata maadili na miiko kwenye majukumu yao. Aidha amewaasa kuwa waadilifu na kutenda…
Bilioni moja zatumika miradi ya ujirani mwema
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara Wananchi wanaoishi jirani na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti (Senapa) wamelipongeza Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa) kwa kufanikiwa kusimamia kiadilifu miradi ya maendeleo yenye thamani ya Sh 1,034,750,990. Wakizungumza na JAMHURI Digital kwa nyakati…
Tanzania yapokea meli kubwa ikiwa na watalii zaidi ya 2000 kutoka nchini Norway
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Meli ya watalii ya Norwegian, inayomilikiwa na kampuni ya Norwegian Cruiseline Holdings ya Marekani, kutoka nchini Norway yenye urefu wa mita 294 imewasili katika bandari ya Dar es Salaam ikiwa na jumla ya…