Category: MCHANGANYIKO
Waziri Mkuu amwakilisha Rais Samia Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Halima Bulembo ambaye alimwakilisha Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es SalaamĀ Septemba 19, 2024, kabla ya kuondoka…
Vituo vya zana za kilimo kujengwa nchi nzima, wanaowanyonya wakulima kukiona
Na Mwandishi Wetu, JajhuriMedia,Ruvuma Seeikali imetangaza kujenga vituo vya zana za kilimo nchi nzima na kuanza kugawa ruzuku ya mbegu za mahindi. Pia Waziri wa Kilimo Husein Bashe (mb) amesena atakula sahani moja na wafanyabiashara vishoka wanaonyonya wakulima. Hayo yameelezwa…
Serikali kuendelea kutekeleza mkakati wa nishati safi ya kupikia
šKapinga asema lengo ni kuwafanya Watanzania zaidi ya asilimia 80 kutumia nishati safi ifikapo 2034. šKwa mwaka huu wa fedha mitungi laki nne kutolewa. šAtoa rai kwa Watanzania kuendelea kuhamasishana matumizi ya nishati safi ya kupikia. Naibu Waziri Nishati, Judith…
Waziri Jafo ataka wananchi kuacha kuchanganya mazao
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Dkt Selemani JafoĀ ametoa rai kwa Watanzania kuacha kuchanganya mazao ili kutokuharibu au kupunguza thamani ya mazao hayo katika soko la kimataifa na kuharibu taswira ya Tanzania. Dkt.Jafo ameyasem…
Asilimia 75 ya Watanzania wanatumia simu za mkononi, milioniĀ 35 wanatumia mtandao wa intanenti
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali imewahakikisha wananchi wanaofanya shughuli zao kupitia mitandao kuwa wapo salama zaidi na Serikali imetunga Sheria ya kulinda data za mtu binafsi katika matumizi ya mtandao na kila mtumiaji analindwa na hairuhusiwi kutumia data za…





