Category: MCHANGANYIKO
Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa kupeleka umeme wa gridi Mtwara na Lindi – Kapinga
π Lengo ni kuimarisha upatikanaji wa umeme π Fidia kulipwa kwa wanaopisha mradi Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali inatekeleza mradi wa kuiunganisha Mikoa ya Mtwara na Lindi na umeme wa gridi kutokea Songea kwa kupitia njia ya…
Mkuu wa Majeshi awasili Mara kushiriki mazishi ya marehemu Jenerali Msuguri
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda amewasili nyumbani kwa Mkuu wa Majeshi mstaafu Jenerali David Bugozi Musuguri wilayani Butiama Mkoani Mara tarehe 03 Novemba 2024 kwa ajili ya kutoa salamu za pole kwa wafiwa na kukagua maandalizi…
TARURA Kilimanjaro yatimiza ahadi ya Rais Samia
WAKALA ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Kilimanjaro imekamikisha ujenzi wa barabara ya Kisinane C yenye urefu wa Km. 0.80 kwa kiwango cha lami. Ujenzi huo ni ahadi ya Rais Dk Samia Suluhu Hassan aliyoitoa Oktoba 2021…
Dk Biteko ahimiza upendo, amani na ushirikiano Sengerema
πAsisitiza wananchi kushiriki Uchaguzi Wa Serikali za Mitaa kwa amani π Asema Sengerema inahitaji maendeleo na si maneno Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amehimiza…
JOWUTA yataka sheria za kazi kuwalinda wafanyakazi katika vyombo vya habari
UTPC yaomba serikali kuingilia kati Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Singida Chama cha Wafanyakazi katika vyombo vya habari nchini (JOWUTA) kimetaka Serikali kusimamia sheria za kazi kwa wafanyakazi katika vyombo vya habari kama zilivyo sekta nyingine ili waandishi wapate haki na stahiki…
Serikali imetekeleza miradi mingi sekta ya afumya – Dk Biteko
π Azindua Jengo la Kisasa la Upasuaji Sengerema DDH na Mradi wa Umeme wa Jua π Ahimiza wananchi kutunza miundombinu ya hospitali πAtaja mageuzi makubwa yaliyofanywa katika sekta ya afya π Alipongeza Kanisa Katoliki, awashukuru wafadhili wa miradi Na Ofisi…





