Category: MCHANGANYIKO
Sangu: Baadhi ya mamlaka za nidhamu hazizingatii sheria
Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ,Deus Sangu amesema baadhi ya mamlaka za nidhamu hazizingatii sheria ,kanuni na taratibu za utumishi wa umma katika ushughulikiaji mashauri ya kinidhamu na…
Serikali yaagiza vifaa vya kujifungulia vipatikane vituo vya afya
Naibu Waziri Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Dk. Festo Dugange, ameagiza ofisi za halmashauri kuhakikisha vifaa vya kujifungulia vinapatikana katika vituo vya afya. Akijibu swali bungeni mjini Dodoma, Dk. Dugange alisema kwamba sera ya afya inatoa muongozo wa huduma kwa wakinamama…
Sillo : Msipande bodaboda mishikaki
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Daniel Sillo, amewaagiza wadau wa usalama barabarani kudhibiti ajali za barabarani ambazo zinachangia kupoteza nguvu kazi ya taifa. Akijibu swali bungeni mjini Dodoma kuhusu usafiri wa bodaboda, Naibu Waziri Sillo alisema inasikitisha…
‘Watumishi wanaoshinda rufaa warudishwe kazini’
Ofisi ya Rais ,Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imewaagiza waajiri wa taasisi za umma kuwarudisha kazini watumishi wanaoshinda mashauri ya rufaa za kinidhamu kadiri ya maelekezo yaliyotoka kwenye Tume ya Utumishi wa Umma. Naibu Waziri wa Ofisi…
Biteko : Afrika tunapaswa kutumia rasilimali tulizonazo kuzalisha umeme wa kutosha
📌 Asema pamoja na dunia kuhamia kwenye nishati jadidifu, makaa ya mawe yatasaidia Afrika kuwa na umeme wa kutosha 📌 Aeleza mafanikio sekta ya nishati Tanzania katika Jukwaa la Mawaziri Wiki ya Nishati India 📌 Tanzania yapongezwa kwa miradi ya…
Kituo cha mfano Katente chaongoza makusanyo Mbogwe
Afisa Madini atoa Wito wachimbaji kuvitumia Abainisha fursa za Uwekezaji Sekta ya Uchimbaji mdogo Mbogwe Mbogwe Uwepo wa Kituo cha Mfano cha Katente katika Mkoa wa Kimadini Mbogwe umeleta mapinduzi katika ukusanyaji wa Maduhuli ya Serikali kufuatia Wachimbaji Wadogo wa…





