Category: MCHANGANYIKO
Maafisa aelimu watakiwa kuhakikisha miradi ya elimu inakamilika kwa wakati
Na. Asila Twaha, OR – TAMISEMI Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)Bw. Adolf Ndunguru amewataka Maafisa Elimu wa Mikoa na Halmashauri kuhakikisha wanafuatilia miradi ya elimu na kuikamilisha ifikapo tarehe Januari 15, 2024….
Serikali kuajiri walimu 1,500 na kuboresha posho Z’bar
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali imejenga skuli za kisasa za ghorofa mijini na vijijini pamoja na maeneo ya visiwa vidogovidogo ikiwemo Gamba, Kojani, Tumbatu. Amesema ahadi ya CCM iliandika kujenga mabanda ya skuli, ambapo Serikali ya…
Bodi ya nyama yatoa elimu Kanda ya Kaskazini, yawaonya wanaochezea nyama
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Bodi ya Nyama nchini (TMB), imeendelea kutoa mafunzo kwa wadau wa tasnia ya nyama kama inavyoekeleza sheria ya nyama namba 10 ya Mwaka 2006 ambayo ilizinduliwa Novemba 14, 2008 ikiwa na lengo la kuweka mazingira…
Aliyemchoma visu mara 25 mkewe na kufariki na yeye afariki
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Moshi Lucas Paul Tarimo, aliyekuwa akituhumiwa kumchoma visu mkewe mara 25 marehemu Beatrice Minja (45), mkazi wa kijiji cha Mbomai juu, Kata ya Tarakea mkoani Kilimanjaro, naye amefariki. Marehemu alikamatwa akiwa amejificha katika Kijiji cha Jema…
Wenye chumvi pelekeni kiwanda cha Neel – Mahimbali
#Kiwanda kinauwezo wa kuzalisha tani 600 za chumvi kwa siku #Kimetoa ajira kwa zaidi ya wafanyakazi 500 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Wito umetolewa kwa wazalishaji wa madini ya chumvi nchini kupeleka malighafi hiyo katika Kiwanda cha Neelkanth Salt Limited…