JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Madiwani Tabora walaani mwalimu kulawiti mwanafunzi

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa Tabora limesikitishwa sana na kitendo cha Mwalimu kumlawiti mwanafunzi wake mwenye umri wa miaka 7 na kutaka hatua kali za kisheria zichukuliwe dhidi yake ili kukomesa tabia hiyo….

Polisi waachia baadhi ya wanachama na viongozi wa CHADEMA

Polisi imethibitisha kuwa baadhi ya walioshikiliwa walihojiwa na kurejeshwa katika mikoa yao walikotoka. Akizungumza usiku wa kuamkia leo jijini mbeya, Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Polisi, Awadhi Juma alisema baadhi ya viongozi hao ambao walishindwa kukidhi masharti ya dhamana…

Idadi ya watalii yaongezeka Pugu- Kazimzumbwi wafikia 21,248- Mtewa

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kisarawe IDADI ya watalii wanaotembelea Msitu wa Hifadhi ya Pugu-Kazimzumbwi, wilayani Kisarawe ,mkoani Pwani imeongezeka na kufikia watalii 21,248 kwa mwaka 2023/2024. Aidha, mapato yaliyopatikana kutokana na watalii hao ni kiasi cha sh.milioni 222. Akizungumzia ongezeko…

TCCIA yataka wadau washiriki mkutano wa Halal kesho

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHEMBA ya Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA), kimetoa wito kwa wafanyabiashara kote nchini kushiriki mkutano utakaotoa elimu ya bure kuhusu namna ya kupata cheti cha Halal kwenye bidhaa zao. Hayo yamesemwa leo jijini…

FCS yaiomba Serikali itupie macho makundi maalum na kujiimarisha kiuchumi

Na Mwandishi Wetu JamhuriMedia, Dar es Salaam Asasi za Kiraia nchini kupitia Shirika la The Foundation for Civil Society (FCS), imeiomba Serikali iangazie katika kuhakikisha makundi maalum yanawezeshwa kufikia miundombinu ya kidigitali ili waweze kushiriki katika michakato ya maendeleo na…

Ndumbaro asitisha ujenzi wa shule eneo la michezo Dar

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ameagiza kusitishwa maramoja kwa ujenzi wa shule ya msingi katika eneo la michezo lililopo mtaa wa  Panga, Tegeta Wazo Jijjini Dar es Salaam. Mhe. Ndumbaro amefikia uamuzi huo kufuatia pingamizi…