JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

FCC kutoa elimu Sabasaba kuhusu bidhaa bandia

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam TUME ya Ushindani nchini (FCC) imeendelea kutoa elimu kwa wafanyabiashara na wananchi kwa ujumla kuhusu bidhaa bandia katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam (DITF) maarufu kama Sabasaba yanayofanyika…

Naibu Waziri Kapinga awahakikishia umeme wa uhakika vijiji vya Manzwagi, Kidunyashi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea kuwasimamia kwa umakini wakandarasi ili waweze kukamilisha kazi zao kwa wakati na kwa ufanisi, pia amewaelekeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha wanaongeza nguzo 40 ambazo ni…

Serikali yaipa TANROADS Mwanza bil. 58.27/- kujenga daraja la Simiyu na daraja la sukuma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan imetenga jumla ya Shilingi Bilioni 58.288 kwa ajili ya kujenga daraja la Simiyu na daraja la…

TTCL yaja na huduma mpya ya T-CAFE

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MWENYEKITI wa Bodi Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Zuhura Muro amesema kutokana na dunia ya sasa ipo kidjitali imewezesha TTCL kupiga hatua katika kutoa huduma mbalimbali. Amesema kwa sasa TTCL imekuja na huduma…

Serikali kusikiliza na kutatua changamoto zinazowakabili wafanyabiashara

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kufanya kila linalowezekana kusikiliza na kutatua changamoto za wafanyabiashara nchini. Rais Samia ameyasema hayo leo Julai 03, 2024 jijini…

JWTZ kuadhimish miaka 60 tangu kuasisiwa kwake Septemba1, 1964

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia, Dar es Salaa Serikali ya Tanzania kupitia Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania( JWTZ linatarajia kufanya maadhimisho ya miaka 60 tangu kuasisiwa kwake Septemba 1, 1964 na Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Akizungumza na waandishi wa habari…