JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Ramadhan Makala akamatwa kwa tuhuma za kusafirisha bangi gunia 13

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam kwa kushirikiana na vyombo11 Agosti, 2025 wamefanikiwa kukamata Ramadhan Makala Mkazi wa Tabata kwa tuhuma za kusafirisha bangi gunia 13 zenye uzito unaokadiriwa kuwa kilogramu 239…

Taasisi ya Revive kutoa matibabu ya Physiotherapy bure Septemba 6 na 7 Bure

Na Mwandishi Wetu,Jamhuri MediaDar es Salaam Katika kuunga Mkono Jamii suala la Afya Taasisi ya Rivaivu(Revive) iliopo jijini Dar s Salaam jirani na Hospitali ya Ocean Road inatarajia kuadhimisha siku ya kimataifa ya matibabu ya Physiotherapy kutoa huduma za matibabu…

EACOP, BBN wafadhili Mafunzo ya Ufundi stadi kwa wakazi 12 wa Chongoleani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi Afrika Mashariki (EACOP kupitia mkandarasi wake Besix Ballast Nedam (BBN) imetoa ufadhili wa mafunzo stadi kwa wakazi 12 wa Kata ya Chongoleani panapojengwa miundombinu ya kuhifadhi na kusafirisha mafuta…

Msajili wa Hazina afanya mazungumzo na TRC, LATRA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Mhandisi Machibya Shiwa, pamoja na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), Bw….

RPC Morcase awataka waandishi wa habari kuzingatia miiko na maadili

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Kamishna Msaidizi wa Polisi Salim Morcase, amewataka waandishi wa habari mkoani humo kuzingatia weledi, miiko na kanuni za taaluma ya uandishi wa habari wanapotekeleza majukumu yao, hususan katika kipindi…

Kongamano la Mahakama ya Afrika latoa muelekeo mpya kuhusu haki za wanawake, wasichana

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Kongamano la siku mbili lililoandaliwa na Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu limewakutanisha wadau mbalimbali wakiwemo watendaji wa serikali, wanasheria kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika, mashirika yasiyo ya kiserikali pamoja na wataalamu…