JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Marekani kuwapa fursa vijana wa Kitanzania wenye vipaji

Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Pauline Gekul leo Januari 13, 2022 jijini Dar es Salam, ameongoza kikao kati ya Wizara hiyo na Wadau wa Diaspora kutoka nchini Marekani kupitia asasi ya Global Youth Support Center, kujadili nia ya…

Serikali yawahakikishia wawekezaji ulinzi na usalama

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla amewahakikishia Wafanyabiashara na wawekezaji kuwa Serikali ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuweka mazingira Bora ya biashara pamoja na kutatua changamoto za Wafanyabiashara. RC Makalla amesema hayo wakati wa ufunguzi…

Kesi ya aliyekuwa kigogo wa PSSSF na wenzake yazidi kurindima

Na Mwandishi wetu JAMHURI. Shahidi wa utetezi,Khalid Kilua katika kesi ya  wizi wa vitu vya dukani vyenye thamani ya Sh 68.4 milioni inayomkabili aliyekuwa Meneja wa Mfuko wa Pensheni kwa watumishi wa Umma(PSSSF),Rajabi Kinande na wenzake amedai kuwa alipewa taarifa…

Ridhiwani apendekeza TRC kuweka kituo Magindu ili Wanachalinze wanufaike na SGR

Na Mwamvua Mwinyi,Pwani Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambae pia ni mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete ametoa mapendekezo kwa Shirika la Reli Tanzania kuona namna ya kuweka kituo eneo la Magindu katika Reli ya…

Philibert Paschal Foundation Kutoa Elimu Kwa Madereva Bodaboda.

Na Mussa Augustine. Taasisi ya Philibert Paschal Foundation imekua ikitoa Elimu ya Usalama Barabarani kwa Madereva wa pikipiki za kusafirisha abiria(Bodaboda) ikiwa ni jitihada za kuisaidia serikali kupunguza vifo vitokanavyo na ajali za bodaboda zinazotokea mara kwa mara. Akizungumza Dar…