Category: MCHANGANYIKO
Ajali yaua watano Morogoro
Watu watano wameripotiwa kufariki dunia papo hapo, katika eneo la Mikumi, wilayani Kilosa mkoani Morogoro kwenye ajali iliyohusisha gari ndogo maarufu kama IT iliyokuwa ikitokea bandarini jijini Dar es salaam kuelekea mpakani Tunduma kugongana uso kwa uso na gari kubwa…
Mwanafunzi ajinyonga baada ya wazazi wake kumzuia kutojihusisha na mapenzi
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Lasmini Kondo mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari ya Masaki wilayani Kisarawe mkoani Pwani,amekutwa akiwa amejinyonga baada ya kukatazwa na wazazi wake kutojihusisha na mapenzi . Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Jeshi…
Rais Samia ashiriki zoezi la ujazaji maji bwawa la umeme la Julius Nyerere, Rufiji
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kushiriki zoezi la ujazaji maji katika bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere (JNHPP) lililopo Rufiji Mkoani Pwani leo Desemba 22, 2022 Bwawa la umeme la Julius Nyerere linalojengwa…
Hospitali Madaba kutoa huduma zote muhimu
UJENZI wa hospitali ya Halmashauri ya Madaba Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma upo katika hatua za umaliziaji. Mkuu wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Pololet Mgema amesema serikali imetoa shilingi bilioni 2.9 kutekeleza mradi huu ambao utawezesha kutoa huduma zote muhimu…
Kocha wa Simba na wenzake 9 wadakwa na dawa za kulevya
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA), Gerald Kusaya ametangaza watuhumiwa tisa wakiongozwa na Mmiliki wa Kambiaso Sports Academy, Alhaj Kambi Zubeir Seif pamoja na Kocha wa Makipa wa Klabu ya Simba, Mwalami…