Category: MCHANGANYIKO
kukumbatia tamaduni za kigeni ni hatari kwa maendeleo ya nchi – Dk Biteko
📌 Asema ni chanzo cha mmomonyoko wa maadili 📌 Ahusisha na ukatili wa kijinsia na mauaji ya Albino Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka…
Bodi ya NHC yajionea maendeleo ya miradi iliyopo Dar es Salaam
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), imejionea maendeleo ya miradi mbalimbali iliyopo Dar es Salaam ili kuona juhudi zinazofanywa na timu ya ujenzi chini ya usimamizi wa Mkurugenzi Mkuu…
NHC kuanzisha mkoa mpya wa kiutendaji wa Urafiki
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kuunga mkonono juhudi za Rais Samia Suluhu Hasan, za kuchochea maendeleo, Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), limedhamiria kuanzisha mkoa mpya wa kiutendaji wa Urafiki. Akitangaza dhamira hiyo imeelezwa na Mkurugenzi Mkuu…
Breaking News; kijana Sativa apatikana Katavi akiwa na majeraha
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kijana Edger Edson Mwakabela (27), maarufu kwa jina la Sativa, mkazi wa Mbezi kwa Msuguri jijini Dar es Salaam amepatikana katika Hifaadhi ya Katavi akiwa na majeraha katika sehemu mbalimbali ya mwili wake….
Serikali yazitaka Taasisi kuimarisha usimamizi katazo la mifuko ya plastiki
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imezitaka Mamlaka na Taasisi zake zote kuimarisha na kuwezesha vitengo vyake vinavyosimamia utekelezaji wa katazo la mifuko ya plastiki ili viweze kutekeleza majukumu yao ipasavyo kama ilivyoelekezwa kwenye Sheria ya Usimamizi wa Mazingira Sura 191 na…
Tanzania yashinda tuzo ya Umoja wa Mataifa ya Ubunifu bora huduma za umma kupitia mfumo wa e-Mrejesho
Tuzo za Umoja wa Mataifa za Ubunifu katika Huduma za Umma ‘UN Public Service Innovation Awards’ zimetolewa leo Juni 26 mwaka huu, nchini Korea Kusini kwenye Kilele cha Wiki ya Huduma kwa Umma ya Umoja wa Mataifa ‘UN Public Service…