Category: MCHANGANYIKO
Kliniki ya matibabu ya moyo jioni ni fursa nyingine kwa Watanzania
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), imeanzisha kliniki ya matibabu ya moyo inayoanza saa kumi jioni hadi saa mbili usiku ili kutoa nafasi kwa wagonjwa walioshindwa kufika kliniki za asubini kupata huduma. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa…
Gwajima:Tujadili mfumo bora wa kusaidia watoto ombaomba mitaani
Na Mwandoshio Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kt. Dorothy Gwajima ameitaka jamii kujadili mfumo mzuri wa kuwasaidia watoto wanaoomba mitaani ili misaada hiyo iweze kupelekea watoto hao kutimiza ndoto zao. Gwajima ametoa wito huo…
‘Ukosefu wa mtaji umesababisha kushindwa kufikia ndoto yangu’
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Arush Kwa mujibu wa sera ya maendeleo ya wanawake na jinsia ya mwaka 2000, inaonesha kuwa idadi ya wanawake ni kubwa kwa takribani asilimia 52 zaidi ya wanaume ambayo ni asilimia 48 huku wanawake wengi wakiripotiwa kuishi vijijini….
Polisi wanasa tena ‘Panya road’ 167 Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar Jeshi la Polisi nchini limewatia mbaroni watuhumiwa 167 ‘Panya road’ ,katika operesheni maalumu inayoendelea katika Jiji la Dar es Salaam ambao wanatuhumiwa kushiriki katika vitendo mbalimbali vya uhalifu. Akizungumza leo Septemba 24,2022 ,Kamishna wa Operesheni na…