Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
December 20, 2024
MCHANGANYIKO
Balozi Nchimbi awasili Nzega, azindua ukumbi wa mikutano
Jamhuri
Comments Off
on Balozi Nchimbi awasili Nzega, azindua ukumbi wa mikutano
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwasili na kupokelewa Wilaya ya Nzega, leo Ijumaa tarehe 20 Desemba 2024. Kabla ya kushiriki Mkutano Mkuu wa Jimbo la Nzega mjini, ambao amealikwa kuwa mgeni rasmi, Balozi Nchimbi alifanya uzinduzi wa ukumbi mkubwa wa mikutano unaomilikiwa na CCM Wilaya ya Nzega, wenye uwezo wa kutumiwa na watu takriban 1,500 – 1,900 wakiwa wamekaa, ulioko Ofisi ya CCM Wilaya ya Nzega.
Post Views:
179
Previous Post
Wawekezaji wakaribishwa Kagera
Next Post
Mshindi wa mashindano ya Gofu ya Lina PG Tour kujulikana kesho kutwa
Baraza la wafanyakazi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu lakutana
Kampeni ya ‘Ubungo usiku kama mchana’ yazinduliwa
JKCI yazidi kutanua wigo wa huduma za matibabu nchini
Watatu mbaroni kwa wizi mtoto wa miezi saba, wakutwa msituni
Bashe ahimiza ushirikiano kati ya Tume ya Umwagiliaji na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri
Habari mpya
Baraza la wafanyakazi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu lakutana
Kampeni ya ‘Ubungo usiku kama mchana’ yazinduliwa
JKCI yazidi kutanua wigo wa huduma za matibabu nchini
Watatu mbaroni kwa wizi mtoto wa miezi saba, wakutwa msituni
Bashe ahimiza ushirikiano kati ya Tume ya Umwagiliaji na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri
Waziri Kombo akutana na Waziri wa Uchukuzi wa Czech
Polisi Arusha wapewa pikipiki 20 kuimarisha usalama
Tanzania, UN tourism zasaini makubaliano ya kongamano la kimataifa la utalii wa vyakula barani Afrika
Maelfu watakiwa kuhama baada ya moto mpya kuzuka Marekani
Marekani yaahidi kuunga mkono Serikali ya Israel
ZEEA yaanza kutoa mikopo kidijitali, maafisa washauriwa kuwa makini
Wasira awashukia waliopora ardhi ya vijiji
Zaidi ya wanawake 600 kutoka mikoa saba kujengewa uwezo masuala ya uongozi
TMA yatoa utabiri wa msimu wa mvua za masika 2025
Wakazi zaidi ya 1,000 Mpiji Magoe kunufaika na huduma ya majisafi