Category: MCHANGANYIKO
Tusifanye majaribio katika urais 2015
Kadri muda unavyozidi kusonga mbele naona joto la kuwania urais linapanda. Joto hili linapanda kwa wanasiasa, wapambe wao na hata viongozi walioko madarakani wanaanza kuangaliangalia nani watamsaidia kushika dola kisha aendelee ‘kuwaenzi’.
Nyalandu aichongea Ikulu kwa Marekani
*Aona Pinda hana msaada, awatafuta TAHOA
*Alalama wenzake serikalini wanamhujumu
Na Mwandishi Maalumu
Hivi kweli Kaburu ni kirusi Simba, soka la Tanzania?
KWENYE wallet (pochi ya kutunzia fedha) ya kada wa klabu ya Yanga, Sudi ‘Tall’ Hussein pamoja na kuchukua mambo mengine ndani yake kuna kipande cha gazeti la michezo la MWANAspoti.
Werrason alivyokonga mashabiki wa muziki
Werrason Dima Makanda ni mmoja wa wanamuziki wa Kongo wenye washabiki wengi sana hapa nchini na Afrika kama si duniani kiujumla.
Watanzania tuchimbe madini yetu wenyewe – 2
Katika sehemu ya kwanza ya makala hii, mwandishi alieleza kwa kina umuhimu kwa Watanzania wenyewe kuanza kuchimba madini, ili wafaidike nayo badala ya utaratibu wa sasa unaowanufaisha wageni zaidi. Endelea…
Maoni ya wananchi kuhusu Katiba yaheshimiwe
Kesho Jumatano, Oktoba 8 mwaka huu, Rais Jakaya Mrisho Kikwete, wa Tanzania, na Rais Dk. Ali Mohamed Shein wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, wanatazamiwa kukabidhiwa rasmi Katiba iliyopendekezwa kutoka Bunge Maalum la Katiba, mjini Dodoma.