Category: MCHANGANYIKO
Mheshimiwa Sitta acha kututania!
Nyalandu aanza kulipa ndege aliyofadhiliwa
Mara baada ya Balozi Khamis Kagasheki kujiuzulu kutokana na shinikizo la wabunge kadhaa, baada ya taarifa ya James Lembeli juu ya Operesheni Tokomeza kuwasilishwa bungeni Novemba, mwaka jana; Lazaro Nyalandu, wakati huo akiwa ni Naibu Waziri katika Wizara ya Maliasili na Utalii, alisafiri sana huku na kule nchini.
‘Hatuchukui tena makapi ya CCM’
Niliposoma maneno hayo katika Gazeti la Mwananchi toleo Na. 5098, Jumanne, Julai 8, 2014, ukurasa wa mbele (na maelezo uk. 4: Siasa) nilipigwa na butwaa!
Lakini nilitaka nijiridhishe na kile nilichokisoma kwa kuwapigia simu wahusika — Gazeti la Mwananchi. “Haya mliyoandika mna hakika yametamkwa na Dk. Wilbrod Slaa, Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)?”
Operesheni saka wachawi yatikisa Geita
Vikongwe waauwa
Operesheni haramu ya mauaji ya kinyama dhidi ya wanawake vikongwe, inayofanywa na kikundi cha Chinja Chinja isipodhibitiwa mkoani wa Geita, kuna hatari ya hazina hiyo muhimu kwenye Taifa kumalizika kwa kuuawa bila hatia.
Mwanamke aliyenusurika kifo kisa dini
Meriam Yahia Ibrahim Ishag au Maryam Yahya Ibrahim Ishaq ni raia wa Sudani kwa anayeishi nchini Marekani katika Jimbo la Philadelphia kwa sasa, kutokana na kukimbia nchini kwake baada ya kupona hukumu ya kifo kwa madai ya kuasi dini yake.
Tuvunje Bunge la Katiba tukawahoji wananchi kama wanataka Muungano
Wiki hii nafahamu kuwa kuna tukio la aina yake nchini. Ni kwa mantiki hiyo, nashindwa kuendelea na mada yangu ya gesi. Naomba niisogeze mbele kwa wiki moja. Yanayotokea ni ya mpito, ila Tanzania itabaki.
- Tanzania, DRC kukuza uchumi kupitia bandari
- Mwalimu aliyejipatia mafao kutoka PSSF milioni 70.3 kwa udanganyifu aenda jela miaka 65
- TMA yatoa tahadhari ya matarajio ya hali ya hewa mbaya kwa siku tano
- Weather forecast for the next 24 hours
- Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji Simanjiro afikishwa mahakamani kwa rushwa
Habari mpya
- Tanzania, DRC kukuza uchumi kupitia bandari
- Mwalimu aliyejipatia mafao kutoka PSSF milioni 70.3 kwa udanganyifu aenda jela miaka 65
- TMA yatoa tahadhari ya matarajio ya hali ya hewa mbaya kwa siku tano
- Weather forecast for the next 24 hours
- Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji Simanjiro afikishwa mahakamani kwa rushwa
- Rais Dk Samia aagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Chapo
- Kapinga azindua kituo mama cha gesi asilia iliyoshindiliwa (CNG) Dar
- Shirika la Posta Tanzania lashiriki kongamano la eLearning Afrika, laja na huduma ya Swifpack
- Matumizi ya nishati safi ya kupikia kufikia asilimia 75 mwaka 2030 – Dk Biteko
- Wajumbe, mabalozi 2,200 wanufaika na mafunzo ya utatuzi wa migogoro Songea
- Papa aongoza misa kwa mara ya kwanza
- Papa Leo XIV apokelewa kwa matumaini Congo
- Trump anaitaka Urusi kusitisha vita kwa siku 30 na Ukraine
- Serikali yasikitishwa na azimio la Bunge la Ulaya kuhusu kesi ya Tundu Lissu
- Viongozi wa kisiasa na kidini duniani wampongeza Papa mpya Leo XIV