Category: MCHANGANYIKO
Rais Samia amwaga mabilioni kuboresha sekta ya elimu, afya Halmashauri ya Mji Kibaha
Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan ameridhia na kuidhinisha kiasi cha fedha shilingi Bilioni 3.9 kwa ajili ya kuboresha na kuimarisha miundombinu kwenye Sekta ya Elimu,afya na Utawala Halmashauri ya Mji…
Tista watangaza matokeo ya somo la elimu ya dini ya kiislamu
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Tanzania Islamic Studies Teaching Association wameipongeza Serikali na wadau kwa kuboresha mitahala ya masomo ya dini ya kiislamu na kuongeza ufaulu. Akizungumza kwa kwenye mkutano wa waandishi wa habari, Makamu Mwenyekiti…
Tanzania yajipanga kutumia nishati ya nyuklia kuzalisha umeme – Dk Biteko
Dkt. Biteko atangaza msimamo katika Mkutano wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia Asema mashapo 58,500 ya urani kutumika kama chanzo cha uzalishaji Marekani kuendeleza ushirikiano na Afrika matumizi Nishati ya Nyuklia Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa…
Elimu matumizi bora ya ardhi kupunguza migongano baina ya binadamu na wanyamapori
Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dodoma Mpango wa matumizi bora ya ardhi vijijini ulirasimishwa miaka ya hivi karibuni ikiwa ni moja ya mikakati katika mchakato wa kuleta maendeleo endelevu. Utekelezaji wa mpango huu hauna budi kuwa mikononi mwa wanavijiji wenyewe kwa…
Rais Dk Samia azindua ndege za mafunzo ya awali kwa marubani JWTZ
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Viongozi wengine katika hafla fupi ya uzinduzi na kukabidhi ndege za mafunzo ya awali ya Marubani na mabasi ya usafirishaji kwa…





