JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kibaha yaongoza ukusanyaji mapato, Bumbuli yashika mkia

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Uchambuzi umeonesha kuwa, katika mwaka wa fedha 2021/22, halmashauri 100 zimekusanya kwa asilimia 100 au zaidi ya lengo la mwaka, halmashauri 78 zimekusanya kati ya asilimia 80 hadi asilimia 99 na halmashauri saba zimekusanya kati ya asilimia…

Ndalichako aelekeza ukaguzi maalum matumizi ya fedha za Uviko-19

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu -Kazi, Vijana Ajira na Wenye Ulemavu, Prof. Joyce Ndalichako, ameelekeza kufanyika kwa ukaguzi Maalum juu ya matumizi ya kiasi cha fedha shilingi milioni 694. Fedha zimetumika kwa ajili ya mradi wa ukarabati wa…

Pinda awataka wafanyabiashara kuacha ‘kuchakachua’ bidhaa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma WAZIRI Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda, amewataka wafanyabiashara nchini kuwa waadilifu na kujiepusha na kuchakachua bidhaa kwa kuwa inachangia kushusha ubora. Pinda ameyasema hayo jijini Dodoma wakati wa Kongamano la Uongozi na biashara lililoandaliwa na Taasisi ya Kingdom…