Category: MCHANGANYIKO
Hassan na Hussein warejea nchini baada ya kufanyiwa upasuaji wa kuwatenganisha nchini Saudi Arabia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Watoto Hassan na Hussein Amri Jummane (3) waliozaliwa wakiwa wameungana kwenye nyonga, kifua na wana miguu mitatu sasa wamereja nchini baada ya kufanyiwa upasuaji wa kutenganishwa huko nchini Saudi Arabia. Akizungumza na vyombo vya habari kwa…
Makonda aadhimisha siku ya Uhuru kwa maombi
Na Zulfa Mfinanga, Jamhuri Media, Arusha Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda ameadhimisha siku ya Uhuru wa Tanganyika kwa kufanya matembezi ya maombi ya kuuombea mkoa huo pamoja na Taifa la Tanzania. Akizungumza na mamia ya watu walihudhuria matembezi…
Miaka 63 ya Uhuru: CCM yasisitiza imoja , mshikamano katika kuendeleza mafanikio ya Taifa”
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Tanzania ikiwa inaadhimisha miaka 63 ya Uhuru wake,Katibu Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma Jawadu Mohamed amewataka wananchi kuendelea kuwa na umoja na mshikamano katika kuendeleza mafanikio yaliyopatikana na kuhakikisha kuwa taifa linaendelea…
Uwekezaji wavutia meli kubwa China kutia nanga Bandari ya Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeendelea kupokea meli kubwa za mizigo katika bandari yake ya Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya mafanikio baada ya uwekezaji mkubwa kufanyika katika bandari hiyo…
Ngorongoro wathibitisha kuachana na matumizi ya kuni
📌Wajitokeza kwa wingi kujipatia majiko ya gesi ya ruzuku Wakazi wa Wilaya ya Ngorongoro Mkoani Arusha wameitikia wito wa kutumia Nishati Safi ya Kupikia ikiwa ni hatua ya kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe….
Tamasha la Toyota Festival kutangaza utalii wa Ruvuma
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Mkuu wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma Peres Magiri amezindua Tamasha kubwa la Toyota Festival ambalo limelenga juhudi za kuimarisha utalii, kukuza uchumi wa Mkoa huo na kuhamasisha ushirikiano wa kijamii kupitia shughuli mbalimbali za…





