JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Jokate awapa tano vijana kwa maandalizi mazuri ya Mkutano Mkuu CCM

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM), Jokate Mwegelo amesema jumuiya hiyo imeridhishwa na kazi kubwa na nzuri iliyofanywa na vijana wa chama hicho ya kuandaa ukumbi kwa ajili ya…

Polisi wathibitisha kumshikilia Dk Silaa

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limethibitisha kumshikilia Dkt. Wilbroad Silaa baada ya kumkamata usiku wa kuamkia leo Januari 10, 2024. Kamanda wa Kanda Maalum Dar es Salaam, SACP Jumanne Murilo amethibitisha leo Januari 10, 2025 “Daktari…

Dk Biteko aridhishwa na ujenzi wa kituo cha Gesi Asilia CNG Ubungo

Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Dotto Biteko, amesema ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa kituo kikuu cha kushindilia gesi asilia (CNG) kilichopo Ubungo, Dar es Salaam. Ametangaza kuwa kituo hicho,…

Bajaji, bodaboda marufuku kufika mjini Januari 20-RC Chalamila

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ameagiza kuwa ifikapo Januari 20 bajaji na bodaboda hazitaruhusiwa kufika mjini na maeneo yote ya katikati ya mji. Mkuu wa Mkoa ametoa maagizo yake leo January 9, 2025 jijini Dar es…

RC Chalamila afanya maandalizi ya Mkutano wa wakuu Afrika wa nishati, akagua miradi Dar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila akagua miradi mbalimbali inayoendelea katika jiji la Dar es Salaam. Chalamila akagua miradi hiyo ikiwa ni moja ya maandalizi ya mkutano mkuu wa wakuu…

Waziri Fedha aitaka TRA kuwa wakali kwa wafanyabiashara sugu wanaokwepa kodi

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha WAZIRI wa Fedha, Mwigulu Nchemba, ameiagiza Mamlaka ya Mapato Tanzania{TRA}, kuacha kuwahurumia na kuwa wakali kwa wafanyabiashara sugu wanaokwepa kulipa kodi ya serikali kwa makusudi bila kubugudhi biashara zao. Nchemba ameyasema hayo Jijini Arusha wakati…