JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TAWIDO : Yawaomba wadau mbalimbali kuunganisha nguvu ili kudhibiti vitendo

Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia wanawake, wasichana na watoto Tanzania Women Initiative for development organization ( TAWIDO) limetoa wito kwa Mamlaka za kiserikali na zisizo za kiserikali…

Uwepo wa TAWA waongeza hadhi ya tamasha la Kizimkazi

Na Beatus Maganja,JamuhuriMedia, Zanzibar Mtangazaji nguli, na mwandishi wa habari mashuhuri Africa Mashariki na Kati aliyekuwa akitangaza kipindi cha Dira ya Dunia katika Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) ambaye kwasasa anafanya kazi na Redio/TV ya Crown FM/TV iliyopo nchini,…

Baraza la Madiwani Kibaha Mji lamuomba Rais Samia kuendeleza ardhi ya Shirika la Elimu⁸

Na Victor Masangu, JamhuriMedia, Kibaha Baraza la Madiwani katika  Halmashauri ya mji Kibaha limemuomba Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kuwapatia baadhi ya eneo la ardhi ambayo inamilikiwa na shirika la elimu Kibaha ili waweze kuiendeleza katika shughuli mbali mbali za kiuchumi…

Zanzibar kuweka mkazo zao la mwani

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inakusudia kuweka mkazo kwenye sekta ya mwani ili kuzalisha bidhaa zenye ubora na kuzipatia soko la uhakika. Dk Mwinyi amesema hayo leo Agosti 21, Ikulu Zanzibar…

Mtumishi SUMA JKT – Tunduma mbaroni kwa kuomba na kupokea rushwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe Mahakama ya Wilaya ya Momba Imemhukumu Bw Esau Andrew Hinjo aliyekuwa Askari wa SUMA JKT-Tunduma adhabu ya kwenda jela miaka mitatu au kulipa faini ya sh. 500,000 kwa kosa la kuomba na kupokea hongo kinyume…

Katibu Chama cha Ushirika Matandu Amcos Lindi mbaroni kwa kuhujumu uchumi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Agosti 21, 2024, Mahakama ya Wilaya ya Kilwa imemtia hatiani aliyekuwa Katibu wa ‘Matandu AMCOS’ Salum Kitengwike katika Kesi ya Uhujumu Uchumi Namba 17158/2024 Salum alikuwa anashtakiwa kwa kosa la kuisababishia hasara mamlaka kinyume na…