JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Maandalizi ya mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi Afrika yafikia asilimia 95 – Dk Biteko

📌 Watanzania milioni 13.5 kusambaziwa umeme ifikapo 2030 kutoka milioni 5.2 ya sasa 📌 Asema Mkutano wa Mission 300 umekuwa kivutio duniani; Taasisi za Kimataifa zaonesha nia ya kushiriki 📌 Ataja sababu za mkutano wa M300 kufanyika Tanzania Na Ofisi…

Watumishi wafurahishwa na uzinduzi Baraza la Wafanyakazi Malinyi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro UZINDUZI wa Baraza la Wafanyakazi la Wilaya ya Malinyi, Morogoro umewafurahisha watumishi wa serikali wilayani humo kwamba, wamepata sehemu ya kueleza changamoto na kutetea maslahi yao. Akifungua kikao cha uzinduzi wa baraza hilo leo tarehe…

DC Same aagiza kukamatwa kwa waliowapa mimba wanafunzi wanne

Na Ashrack Miraji, JamhuriMedia, Same Kufuatia taarifa za ujauzito kwa wanafunzi wanne wa shule tofauti za msingi na sekondari katika kata za Kalemawe na Bendera, Mkuu wa Wilaya ya Same, Kasilda Mgeni, ameagiza Jeshi la Polisi kuhakikisha wahusika wa matukio…

RITA yabaini wizi wa mali ya bilioni mbili msikiti wa Manyema

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Timu ya Uchunguzi iliyoundwa na Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kuchunguza mali ya Msikiti wa Manyema, Kariakoo Jijini Dar es Salaam imebaini ubadhilifu na upotevu wa mali na fedha kiasi cha…

CBE kuadhimisha miaka 60 ya kuanzishwa kwake

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam NAIBU Waziri Mkuu, Dk Doto Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya miaka 60 tangu kuanzishwa kwa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) yanayotarajiwa kufanyika mwanzoni mwa wiki ijayo. Akizungumza na waandishi…

Kwaya ya watoto Westminster yatoa msaada Muhimbili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ess Salaam Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), imepokea msaada wa mashine tatu za kisasa za uchunguzi na tiba kwa wagonjwa wenye changamoto mbalimbali za macho kutoka Shule ya Kwaya ya Watoto Westminster ya nchini Uingereza…