JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Serikali imelitambua deni la Kiwira Coal Mine la bilioni 1.52

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Madini Dkt.Steven Kiruswa amesema Serikali imelitambua deni la Shilingi Bilioni 1.52 lililotokana na mapunjo ya mafao kutoka kwa waliokuwa wafanyakazi na madeni ya Wazabuni wa Mgodi wa Kiwira Coal Mine kabla ya…

Tanzania ipo tayari kwa uwekezaji utakaoongeza thamani ya madini ndani ya nchi

Na Mwandishi Maalum Waziri wa Madini Mh. Anthony Mavunde amesema Tanzania inakaribisha wawekezaji wote wa madini mkakati na kuweka msisitizo kwamba uongezaji thamani wa madin hayo mkakati lazima ufanyike Tanzania. Mavunde ameyasema hayo leo Bali,Indonesia wakati wa majadiliano juu ya…

TASAC yatahadharisha uwepo wa upepo mkali

Na Aziza Nangwa,JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) ,limetoa tahadhali kwa wananchi na wadau juu ya uwepo wa upepo mkali kwa siku tatu kwenye baadhi ya maeneo kwenye ukanda wa Pwani,ya kusini mwa Bahari ya…