JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Watuhumiwa 126 wa ukabakaji, ulawiti na usafirishaji dawa ya kulevya wakamatwa

Na Abel Paul, Jeshi la Polisi, Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema hali ya Ulinzi na usalama kwa kipindi cha kuanzia mwezi Octoba, 2024 hadi sasa ni shwari huku likibaiinisha kuwa limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wa ubakaji na usafirishaji…

Aliyekuwa Msajili wa Vyama vya Siasa John Tendwa afariki Dunia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Aliyewahhi kuwa Msajili wa Vyama vya Siasa, John Bill Tendwa amefariki dunia. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, amesema marehemu Tendwa amefariki leo Desemba 17,…

Majina ya waliochaguliwa kuingia kidato cha kwanza haya hapa

Serikali imetangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza katika shule mbalimbali za Serikali nchini mwaka wa masomo 2025. ANGALIA MAJINA CHINI https://mabumbe.com/tamisemi-form-one-selection/#:~:text=Waliochaguliwa%20kidato%20cha%20kwanza%202025%20Dar%20Es%20Salaam

KCMC yapokea bilioni nne kuboresha huduma za saratani

Na WAF, Kilimanjaro Serikali imetoa Shilingi Bilioni Nne (4) kati ya Bilioni 5.2 zinazotarajiwa kutumika kwa ajili ya ujenzi wa kitengo cha kisasa cha tiba ya mionzi kwa ajili ya saratani kwa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC). …

Miaka mitatu ya Rais Samia na mafanikio ya Wizara ya Afya katika utoaji huduma

Katika kipindi cha Miaka mitatu ya Uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sekta ya afya imepatiwa kiasi cha Shilingi Trilion 6.722 kwa ajili ya kutekeleza vipaumbele mbalimbali ili kuimarisha huduma za afya…

RC Mara awataka viongozi kuacha kufanyakazi kwa mazoea

Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanal Evans Mtambi amewataka viongozi katika mkoa huo kuacha kufanya kazi kwa mazoea wakati wakuwahudunia wananchi nakutokuwa kikwazo cha kutanzua changamoto zinazowakabili Kanali Mtambi ametoa kauli hiyo wakati akifungua mafunzo kwa kamati ya Usalama ya…