JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mil. 455/- kusambaza mitungi ya gesi 22,000 Tabora

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umetoa kiasi cha shilingi milioni 455.7 kwa ajili ya kusambaza mitungi ya gesi ipatayo 22,785 mkoani Tabora ukiwa na lengo la kuhamasisha na kuchochea matumizi ya nishati safi ya kupikia…

ACT – Wazalendo yawahimiza wananchi kuchagua viongozi wanaowajibika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu, amewataka wananchi kuwachagua viongozi wa chama hicho katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa ili kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora za kijamii katika vijiji na vitongoji. Akizungumza katika…

Mahundi : Tutazifanyia kazi changamoto za ukosefu wa mawasiliano ya uhakika Pemba

Na Mwandishi Wetu, WHMTH, Pemba Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imeahidi kuzifanyia kazi changamoto zote kuhusu miundombinu ya mawasiliano zilizobainishwa wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb), visiwani…

CUF yawasihi wanachama wake kukipa kura ya ndio ili kitekeleza mimakati ya haki sawa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Chama cha Wananchi (CUF) kimefanya uzinduzi wa kampeni zake kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Uzinduzi huo ulifanyikajana Vovemba 2w, 2024 katika mtaa wa Magomeni viwanja vya Soko Bati, Manispaa…

Majaliwa : Tutaendelea kushirikiana na wadau katika kuimarisha sekta ya afya nchini

Na WAF – Dar es Salaam Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Jamhruri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zitaendelea kushirikiana na wadau pamoja na taasisi zote za…