JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Watuhumiwa 30 wakamatwa wakighushi nyaraka za NSSF ili wajipatie fedha

Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na maofisa wa mifumo ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) wamefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 30 kwa tuhuma za kugushi nyaraka mbalimbali zinazohusiana…

Waziri Mkuu azindua Nembo ya Muungano, ataka wapiga kura kujiridhisha na wapenda Muungano

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassimu Majaliwa amezindua Nembo na Kauli mbiu kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 60 ya muungano huku akiagiza kuelekea uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa mwaka 2024, wapiga…

Mafuriko Rufiji,Kibiti ACT Wazalendo watoa ushauri kwa Serikali

Na Magrethy Katengu,Jamhuri Media, Dar es Salaam Chama cha ACT Wazalendo kimemwomba Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kujionea hali halisi Rufiji na Kibiti waliokumbwa na janga la mafuriko huku malighafi zao zikiharibika ikiwemo makazi na mashamba yao. Ombi hilo amelito leo…

Waitahadharisha Serikali harufu ya upigaji migodini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Mirerani Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ameshauriwa na wamiliki wa migodi ya madini ya Tanzanite kuwa macho dhidi ya wataalamu waangalizi wa serikali maarufu ’jicho la serikali’. Imeripotiwa kutoka kwa wamiliki hao kuwa wataalam hao wako kwa…

Rais Dk Mwinyi aongoza kisomo cha Hitma kumuombea hayati Sheikh Abeid Amani Karume Zanzibar

WAZIRI Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Alhajj Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Alhajj Dkt.Mohammed Said Dimwa alipowasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar…