Category: MCHANGANYIKO
Mungu awe nayi wana JAMHURI
Chonde chonje wavuta sigara
Mhariri,
Ninajitokeza kutumia fursa hii kutoa wito kwa watu wote wanaovuta sigara kuacha kasumba mbaya ya kuvuta sigara katika msongamano wa watu, kwa sababu vitendo hivyo vina athari kubwa zaidi za kiafya kwa wasiotumia bidhaa hiyo.
Habari sahihi zina nguvu kuliko bunduki
Kwa muda wa miaka kadhaa sasa, nimekuwa kwenye harakati za kuhakikisha nchi yetu inatambua uhuru wa vyombo vya habari, haki ya kupata habari na uhuru wa kutoa mawazo. Harakati hizi zimenifikisha hatua ya kufahamu kwa kina umuhimu wa habari na hasa habari sahihi.
Udhibiti maegesho holela Temeke, changamoto zake
Jiji la Dar es Salaam ni moja ya majiji yanayoongoza kwa idadi kubwa ya wakazi hapa nchini. Hali hiyo inasababishwa na ongezeko la watu wanaoingia jijini kila kukicha, wakitokea mikoa mingine katika harakati za kutafuta maisha bora, ambayo wengi wao wanaamini kuwa yanaweza kupatikana Dar es Salaam.
Mr. Nice kujipanga upya
Soko la muziki wa Tanzania linakua siku hadi siku. Dalili za kukua kwa muziki zinadhihirishwa na ongezeko la wasanii wanaoibuka mara kwa mara. Hali hii imewafanya wasanii wakongwe na waliopata kuwika katika muziki kwa kiasi kikubwa, kufikiria kujipanga upya ili kuendana na soko la kisasa.
- Rais Dk Samia aagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Chapo
- Kapinga azindua kituo mama cha gesi asilia iliyoshindiliwa (CNG) Dar
- Shirika la Posta Tanzania lashiriki kongamano la eLearning Afrika, laja na huduma ya Swifpack
- Matumizi ya nishati safi ya kupikia kufikia asilimia 75 mwaka 2030 – Dk Biteko
- Wajumbe, mabalozi 2,200 wanufaika na mafunzo ya utatuzi wa migogoro Songea
Habari mpya
- Rais Dk Samia aagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Chapo
- Kapinga azindua kituo mama cha gesi asilia iliyoshindiliwa (CNG) Dar
- Shirika la Posta Tanzania lashiriki kongamano la eLearning Afrika, laja na huduma ya Swifpack
- Matumizi ya nishati safi ya kupikia kufikia asilimia 75 mwaka 2030 – Dk Biteko
- Wajumbe, mabalozi 2,200 wanufaika na mafunzo ya utatuzi wa migogoro Songea
- Papa aongoza misa kwa mara ya kwanza
- Papa Leo XIV apokelewa kwa matumaini Congo
- Trump anaitaka Urusi kusitisha vita kwa siku 30 na Ukraine
- Serikali yasikitishwa na azimio la Bunge la Ulaya kuhusu kesi ya Tundu Lissu
- Viongozi wa kisiasa na kidini duniani wampongeza Papa mpya Leo XIV
- Mapato yasiyo ya kodi yafikia asilimia 67, OMH yadhamiria kufikia lengo la mwaka
- STATEMENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA ON THE EUROPEAN PARLIAMENT RESOLUTION
- Vikundi 49 vya wanawake wajasiriamali Mbulu Mji kupata mikopo ya milioni 168
- Ujio wa Rais wa Msumbiji watoa ishara ya Umoja wa Afrika
- Viongozi wa Dini waaswa kuimarisha mafundisho kwa wanandoa kunusuru kuvunjika