Category: MCHANGANYIKO
Shambulio la Westgate kuahirisha magongo
Mashindano ya magongo kwa mataifa ya Afrika yaliyopangwa kuanza Alhamisi wiki hii mjini Nairobi, huenda yakaahirishwa kutokana na mkasa wa shambulio la jengo la kitegauchumi la Westgate lililovamiwa na magaidi wa Al Shabaab.
Usahihi kuhusu Shelutete
Katika toleo lililopita la Septemba 24-30, 2013 kwenye ukurasa huu, kulikuwa na barua iliyoeleza ufisadi katika Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro.
TEODENSIA MBUNDA
Mwanamke pekee msaidizi wa waziri
Ni asubuhi na mapema siku ya Jumatano napata wazo la kuonana na Msaidizi wa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Teodensia Mbunda.
Simba, Sunderland zafunga ‘ndoa’ ya mashaka
Hivi karibuni Tanzania itaanza kufaidika na ushirikiano wa kimichezo na utalii na Klabu ya Sunderland, inayoshiriki Ligi Kuu ya England. Hatua hii inafuata baada ya uongozi wa timu hiyo kutua nchini hivi karibuni na kukutana na uongozi wa Serikali kupitia Bodi ya Utalii nchini.
Mayweather avuna Sh bilioni 67 kwa dakika 36
Bondia maarufu duniani, Floyd Mayweather (36) atalipwa dola milioni 41.5 za Marekani (Sh bilioni 67.23), baada ya kumshinda Saul ‘Canelo’ Alvarez (23). Hili ni pambano la 45 kwa Mayweather akiwa ameshinda yote.
Lukuvi aijibu Mahakama kuhusu dawa za kulevya
Septemba 13, mwaka huu, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Uratibu na Bunge), William Vangimembe Lukuvi, alifanya mkutano na waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari jijini Dar es Salaam, ambapo alizungumzia tatizo la dawa za kulevya hapa nchini. kutokana na ukubwa wa tatizo hilo, JAMHURI imeamua kuchapisha hotuba ya waziri huyo katika mkutano huo neno kwa neno kama ifuatavyo: