Category: MCHANGANYIKO
BARUA ZA WASOMAJi
JAMHURI endeleeni kupinga maovu Tanzania
Ni muda mrefu toka nimeanza kufuatilia maandishi na machapisho ya gazeti hili.Nilipata kujiuliza maswali mengi na kuhangaika kwa muda wa miezi sita kutafakari na kujiuliza nini maana ya Jamhuri na ni kwanini wahusika na bodi nzima iliamua kuliita gazeti hili kwa jina la JAMHURI.
Mbio za Soweto Marathon matatani
Ugomvi umeibuka baina ya watayarishaji wa Mbio za Soweto Marathon nchini Afrika Kusini, wakisema hazitafanyika Novemba 3, mwaka huu.
Chameleon atwaa tuzo ya mwanamuziki bora Uganda
Msanii maarufu wa muziki nchini Uganda, Joseph Mayanja, maarufu kama, Jose Chameleon, hivi karibuni alitwaa tuzo ya msanii bora wa kiume wa kimataifa nchini humo. Chameleon ametwaa tuzo hiyo baada ya kuibuka mshindi katika kinyang’anyiro cha Msanii Bora wa Kiume wa mwaka katika tuzo za Africa Entertainment Awards, zilizofanyika jijini Kampala, hivi karibuni.
Armstrong kurejesha medali IOC
Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki (IOC) inamsubiri mwendesha baiskeli wa Marekani aliyepatikana na hatia ya kutumia dawa za kuongeza nguvu mwilini, Lance Armstrong, arejeshe medali ya shaba aliyoshinda kwenye mashindano ya Olimpiki ya mjini Sydney, mwaka 2000, amesema Mkuu wa Tume ya Sheria ya IOC.
Hatuiaibishi Mahakama bali tunaijengea uwezo
Wiki iliyopita Jaji Kiongozi, Fakihi Jundu, ametoa taarifa ndefu kwa vyombo vya habari akilishambulia Gazeti la JAMHURI. Mashambulizi ya Jaji Kiongozi yalijielekeza katika msingi kwamba JAMHURI imekuwa ikifuatilia kazi za Mahakama, tena si kwa uzuri bali kwa kutafuta mabaya yanayofanywa ndani ya Idara hiyo.
Messi alipa faini ya kukwepa kodi
Nyota wa timu ya soka ya Barcelona na timu ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi pamoja na baba yake mzazi wamelipa euro milioni tano, sawa na dola milioni 6.6 za Marekani, baada ya kubainika na kosa la kukwepa kodi. Messi na mzazi wake huyo walidaiwa kukwepa kulipa kodi hiyo ya serikali kwa njia za ujanjaujanja.
- Rais Dk Samia aagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Chapo
- Kapinga azindua kituo mama cha gesi asilia iliyoshindiliwa (CNG) Dar
- Shirika la Posta Tanzania lashiriki kongamano la eLearning Afrika, laja na huduma ya Swifpack
- Matumizi ya nishati safi ya kupikia kufikia asilimia 75 mwaka 2030 – Dk Biteko
- Wajumbe, mabalozi 2,200 wanufaika na mafunzo ya utatuzi wa migogoro Songea
Habari mpya
- Rais Dk Samia aagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Chapo
- Kapinga azindua kituo mama cha gesi asilia iliyoshindiliwa (CNG) Dar
- Shirika la Posta Tanzania lashiriki kongamano la eLearning Afrika, laja na huduma ya Swifpack
- Matumizi ya nishati safi ya kupikia kufikia asilimia 75 mwaka 2030 – Dk Biteko
- Wajumbe, mabalozi 2,200 wanufaika na mafunzo ya utatuzi wa migogoro Songea
- Papa aongoza misa kwa mara ya kwanza
- Papa Leo XIV apokelewa kwa matumaini Congo
- Trump anaitaka Urusi kusitisha vita kwa siku 30 na Ukraine
- Serikali yasikitishwa na azimio la Bunge la Ulaya kuhusu kesi ya Tundu Lissu
- Viongozi wa kisiasa na kidini duniani wampongeza Papa mpya Leo XIV
- Mapato yasiyo ya kodi yafikia asilimia 67, OMH yadhamiria kufikia lengo la mwaka
- STATEMENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA ON THE EUROPEAN PARLIAMENT RESOLUTION
- Vikundi 49 vya wanawake wajasiriamali Mbulu Mji kupata mikopo ya milioni 168
- Ujio wa Rais wa Msumbiji watoa ishara ya Umoja wa Afrika
- Viongozi wa Dini waaswa kuimarisha mafundisho kwa wanandoa kunusuru kuvunjika