Category: MCHANGANYIKO
Tuzungumze, tujenge nchi pamoja
DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Wakati wa harakati za kudai uhuru, viongozi wa Kiafrika waliwaunganisha wananchi kwa kuanzisha vyama vya siasa, pamoja na mambo mengine vyama hivyo vilianzishwa kwa madhumuni ya kutafuta umoja ambao ulikuwa ni silaha namba…
Rais anavyofungua milango ya uwekezaji
Dar es Salaam Na Mwalimu Samson Sombi Maendeleo makubwa ya nchi pamoja na mambo mengine hutokana na maono na msimamo wa kiongozi mkuu wa nchi. Aidha, maendeleo ya nchi huwa na hatua kuu nne ambazo ni mipango, mikakati ya utekelezaji…
Mchechu aifunda NHZ ujenzi wa nyumba
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu, ameanza kutekeleza kwa vitendo maagizo ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kuikaribisha sekta binafsi kushiriki kuchangia ukuaji wa uchumi wa nchi ili kujenga Tanzania mpya. Wiki iliyopita Mchechu…
Yasiyosemwa Ngorongoro
Ngorongoro Na Mwandihi Wetu Muda ni saa 4 asubuhi, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella, Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro, Raymond Mangwala, wakiwa na viongozi mbalimbali wa vyombo vya ulinzi na usalama wanaelekea katika Kijiji cha Kimba kilichoko ndani…
Uchakachuaji mafuta warejea
Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM Mafuta mengi kwa sasa yanauzwa bila kulipiwa kodi zote za serikali baada ya kudaiwa kuingizwa kwa njia za panya katika mikoa iliyopo mipakani na maeneo mengine ya nchi. Habari za uhakika kutoka kwa chanzo…
Ahadi za Ruto, Raila zinatekelezeka?
Mombasa Na Dukule Injeni Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka Kenya (IEBC) imepitisha wagombea wanne miongoni mwa zaidi ya 50 walioomba kuwania urais kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Agosti 9, mwaka huu; ila ni wawili tu ndio wanapewa nafasi kubwa kumrithi…