JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Makamba azindua kamati maalum ya kukiimarisha Chuo cha Kimataifa cha Kidiplomasia

Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, January Makamba amezindua kamati maalum itakayosimamia na kushughulikia chuo Cha uhusiano wa kimataifa Diplomasia cha Salim Ahmed Salim. Akizungumza na waandishi wa habari jijini…

Serikali yaongeza Tahasusi (Combination) mpya 49

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imeongeza Tahasusi (Combination) mpya 49, kutoka 16 zilizokuwepo awali hadi kufikia Tahasusi 65. Tahasusi hizo mpya zitakazoanza kutekelezwa Julai, 2024…

Nchimbi: Watanzania wanajivunia miaka mitatu ya uwezo mkubwa wa Rais Samia

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, amesema kuwa Watanzania wote kwa ujumla wao wanajivunia uwezo mkubwa wa kiuongozi, anaouonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka…

Mwalimu Mkuu Geita afikishwa kortini kwa kughushi 1,500,000

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Machi 18, 2024, shauri la rushwa na uhujumu uchumi Na. 7060/2024, lilifunguliwa mbele ya Atupye Benson Fungo ambaye ni Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Mbogwe dhidi ya Ambakisye Amani Mfwango ambaye ni mwalimu…

Onyo latolewa kwa, wanaoweka ‘vipipi’ sehemu za siri

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ongezeko la dawa asili zinazodaiwa kuondoa changamoto za kike sehemu za siri, ikiwamo kupunguza majimaji, kulegea na kuongeza joto imebainika hazijasajiliwa, pia ni hatari kwa afya. Baadhi ya dawa hizo ni vipipi, mbano…

Mafunzo usalama barabarani kuzifikia wilaya zote Tanga, madereva bodaboda kunufaika

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Tanga Mafunzo ya Usalama barabarani yanayotolewa na Amend Tanzania kwa ufadhili wa Ubalozi wa Uswisi nchini kwa madereva bodaboda jijini Tanga sasa yanatarajiwa kutolewa katika wilaya zote za Mkoa wa Tanga ,lengo likiwa kuwafikia madereva wengi zaidi…