JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kaya 77 zenye watu 463 zaagwa Ngorongoro

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ngorongoro Kaya 77 zenye watu 463 na mifugo 1,408 waliohama kwa hiari kutoka Hifadhi ya Ngorongoro kwenda Msomera wameagwa leo katika ofisi za mamlaka ya hifadhi hiyo. Ofisa Uhifadhi Mkuu, Flora Assey ambaye ni meneja mradi…

Mdau wa maendeleo Kilimanjaro Joseph Mushi apeleka tabasabu kwa wanakijiji Singa

Ajenga zahanati ya kisasa, wananchi wafurahia Na Ashrack Miraji, JamhuriMedia, Same Wanakijiji wa Singa,kata ya Kibosho Mashariki mkoani Kilimanjaro wameonesha kufurahishwa kwa kujengewa zahanati na mdau wa maendeleo Joseph Mushi ambaye amechukua hatua ya kujenga zahanati ya kisasa kwa wanakijiji…

Al Hilal waomba kucheza Ligi Kuu ya Tanzania

Na Isri Mohamed Klabu ya AL Hilal ya Sudan imetuma maombi kwa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF, ya kucheza Ligi Kuu ya Tanzania kuanzia msimu ujao. Afisa habari wa TFF, Clifford Ndimbo amezungumza na Jamhuri Media na kulifafanua…

Putin aongoza kura ya urais kwa asilimia 87

Dalili za ushindi wa Vladimir Putin wa upande mmoja kama Rais wa Urusi ni dhahiri. Wasimamizi wa uchaguzi wametangaza kuwa alipata zaidi ya asilimia 87 ya kura katika matokeo yaliyotolewa kufikia sasa. Putin amekuwa akisema kila mara kuwa ana uhakika…

12 wafanyiwa upasuaji rekebishi wa macho Mloganzila

ยท Global Medicare yasema ni matunda uwekezaji wa Rais Samia Na Mwandishi Wetu, JamhuriaMedia, Dar ea Salaam WATU 12 wamefanyiwa upasuaji rekebishi wa macho kwenye kambi ya macho iliyoendeshwa na Hospitali Muhimbili Mloganzila kwa kushirikiana na taasisi ya utalii tiba…

Siku 1095, Rais Samia madarakani na maajabu sekta ya elimu

Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Wanafalsafa wengi wamesema kuhusu elimu; Wapo waliosema elimu ni funguo wa maisha, wengine wakaongeza elimu ni Maarifa, wengine pia wakanena elimu ni Bahari. Mjadala wa elimu ni bahari ni mpana sana ukimaanisha utajiri mkubwa unaopatikana…