Category: MCHANGANYIKO
Watu 10,262 wakacha ARVs
Watu 10,262 wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi (VVU) na Ukimwi mkoani Mwanza, hawajulikani waliko kwa zaidi ya miezi mitatu sasa baada ya kutohudhuria kliniki ya kutoa dawa hizo.
Tutelekeze wabunge, tuwawezeshe polisi
Wiki hii nimewaza na kuwazua. Kwa furaha nimepokea mrejesho kutoka kwenu wasomaji wangu. Hakika nimefurahi jinsi mlivyolikubali gazeti JAMHURI, na jinsi mawazo tunayoyatoa mnavyoyaunga mkono. Nasema asanteni sana na mkihisi tumekosea, msisite kutusahihisha.
KONA YA AFYA
Vidonda vya tumbo na hatari zake (7)
Kuchelewa sana kula: Kuna maelekezo mengi ya wataalamu juu ya muda mzuri wa kula. Kuchelewa sana kula huweza kuleta tatizo la kiafya ikiwa ni pamoja na vidonda vya tumbo kama mtu atakuwa tayari ana mwelekeo wa kupata vidonda. Vile vile kula wakati husikii njaa si jambo zuri kwa afya. Kula ukiwa huna njaa (au umeshiba) hudhoofisha utendaji kazi wa mifumo inayohusika na usagaji chakula.
Askofu Malasusa: Wanaotaka urais tuwajue
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Askofu Dk. Alex Malalusa, amesisitiza umuhimu wa kulinda na kudumisha amani nchini, huku akihimiza mamlaka husika kuharakisha ufumbuzi wa migogoro iliyopo.
JAMHURI YA WAUNGWANA
Mhalifu anapopewa wiki 2 za kuharibu!
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Jayaka Kikwete, ametangaza operesheni ya kuwaondoa wahamiaji haramu na majambazi katika mikoa ya Kagera na mingine nchini.
FIKRA YA HEKIMA
Viongozi hawa hawatufai
Wakati wa uongozi wa Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin William Mkapa, viongozi wengi wa serikali walijenga nidhamu na uwajibikaji kwa wananchi japo si kwa kiwango kikubwa. Wengi waliheshimu utumishi wa umma.
- Tanzania, DRC kukuza uchumi kupitia bandari
- Mwalimu aliyejipatia mafao kutoka PSSF milioni 70.3 kwa udanganyifu aenda jela miaka 65
- TMA yatoa tahadhari ya matarajio ya hali ya hewa mbaya kwa siku tano
- Weather forecast for the next 24 hours
- Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji Simanjiro afikishwa mahakamani kwa rushwa
Habari mpya
- Tanzania, DRC kukuza uchumi kupitia bandari
- Mwalimu aliyejipatia mafao kutoka PSSF milioni 70.3 kwa udanganyifu aenda jela miaka 65
- TMA yatoa tahadhari ya matarajio ya hali ya hewa mbaya kwa siku tano
- Weather forecast for the next 24 hours
- Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji Simanjiro afikishwa mahakamani kwa rushwa
- Rais Dk Samia aagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Chapo
- Kapinga azindua kituo mama cha gesi asilia iliyoshindiliwa (CNG) Dar
- Shirika la Posta Tanzania lashiriki kongamano la eLearning Afrika, laja na huduma ya Swifpack
- Matumizi ya nishati safi ya kupikia kufikia asilimia 75 mwaka 2030 – Dk Biteko
- Wajumbe, mabalozi 2,200 wanufaika na mafunzo ya utatuzi wa migogoro Songea
- Papa aongoza misa kwa mara ya kwanza
- Papa Leo XIV apokelewa kwa matumaini Congo
- Trump anaitaka Urusi kusitisha vita kwa siku 30 na Ukraine
- Serikali yasikitishwa na azimio la Bunge la Ulaya kuhusu kesi ya Tundu Lissu
- Viongozi wa kisiasa na kidini duniani wampongeza Papa mpya Leo XIV