Category: MCHANGANYIKO
Bilioni 79 kujenga vituo vya Polisi Kata nchi nzima
Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam Serikali imedhamiria kutumia kiasi cha Tshs.Bilioni 79 kujenga Vituo vya Polisi Kata 698 katika maeneo mbalimbali nchini lengo ikiwa kutataua changamoto za kiusalama kwa jamii ambapo kila kituo kinatarajiwa kugharimu kiasi cha shilingi milioni 115….
Wakazi Lulanzi walia na kero ya maji, umeme,hospitali ya wilaya yakabiliwa na changamoto hiyo
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha WAKAZI wa Lulanzi pamoja na Hospital ya Wilaya ya Lulanzi, Kata ya Pichandege ,Kibaha , mkoani Pwani wanakabiliwa na kero kubwa ya ukosefu wa maji na kukosa huduma ya nishati ya umeme wa uhakika ….
NMB, ZASCO zasaini makubaliano kuongeza thamani zao la kimkakati Z’ Bar
na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar BENKI ya NMB na Kampuni ya Mwani Zanzibar (ZASCO), zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU), ya ushirikiano, lengo kuu likiwa ni kuliongezea thamani zao la kimkakati la Mwani na kupanua wigo wa mchango wake katika kukuza…