JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Ndoto ya ‘Simba Mo Arena’ imeyeyuka? 

DAR ES SALAAM Na Andrew Peter “Ukiona mtu mzimaaa mamaa! Analia, mbele za watu ujue kuna jambo.” Sehemu ya kiitikio cha wimbo wa Msondo uitwao ‘Kilio cha Mtu Mzima.’ Tangu alipochukua jukumu la uenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu,…

Jbwai wa Canada azungumzia ‘Certified’

DAR ES SALAAM Na Christopher Msekena Bara la Afrika halijawahi kukaukiwa na vijana wenye vipaji wanaofanya shughuli za usanii na sanaa ndani na nje ya bara hili, huku wakifikia hatua mbalimbali za mafanikio. Miongoni mwa vijana hao ni Michael Baiye,…

Mubarak: Rais wa Misri aliyetorosha mabilioni

Na Nizar K Visram Mahakama ya Umoja wa Ulaya (EU) imeamuru mali za rais wa zamani wa Misri, Hosni Mubarak, ambazo ziko Ulaya zisizuiwe, hivyo kuiruhusu familia yake kuzimiliki bila pingamizi. Hukumu hiyo imetolewa Aprili 6, mwaka huu, ikihitimisha kesi…

Cutsleeve Riddim yagusa Tanzania

DAR ES SALAAM Na Christopher Msekena Kumekuwa na utaratibu wa lebo kutoa nyimbo zinazowahusisha wasanii wanaowasimamia na hakika zimekuwa zikifanya vizuri kwenye chati mbalimbali za muziki. Mfano kipindi cha nyuma lebo ya WCB iliwahi kuachia wimbo wa pamoja unaoitwa ‘Zilipendwa’,…

Tunapata wapi fedha za kuwekeza? (-2)

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Wiki iliyopita katika ukurasa huu, tulizungumzia namna ambavyo fedha za kuwekeza zinavyoweza kupatikana kwa jamii kuchangishana kwa lengo maalumu, na tukatazama faida zilizopo katika uwekezaji wa pamoja. Tuendelee na sifa za Meneja wa Uwekezaji…

Bunge ndilo husimamia mihimili yote

MOROGORO Na Everest Mnyele Japo haisemwi, kimsingi ukweli ni kwamba Bunge ndilo husimamia mihimili mingine yote; yaani Utawala na Mahakama. Ukuu wa Bunge; Bunge lisilo na woga, hupatikana pale tu panapokuwapo Katiba thabiti ya wananchi. Kwanza, ni lazima tutambue katiba…