Category: MCHANGANYIKO
Tanzania imefikia kilele katika dawa za kulevya
Dawa za kulevya zinazidi kuchafua jina la Tanzania. Zimekuwapo taarifa za orodha ya watu wanaotumia au kuuza dawa hizo hapa nchini, lakini kadri siku zinavyopita tatizo linazidi kuwa kubwa kwa kiwango cha kutisha. Katika hali isiyo ya kawaida, Mtanzania aliyeko kifungoni nchini China ameamua kuanika ukweli wa kinachoendelea Tanzania.
Maghoba: Tanzania isipuuze vitisho vya Kagame
Mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Frank Maghoba, ameitahadharisha Tanzania, akiitaka kutopuuza kauli ya vitisho inayodaiwa kutolewa na Rais wa Rwanda, Paul Kagame, dhidi ya Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete.
Tume ya Katiba inataka kutudhulumu?
Mhariri,
Mimi ninaitwa Issa Juma Dang’ada, ninaishi mjini Nzega, mkoani Tabora. Ni Mjumbe wa Baraza la Katiba Wilaya ya Nzega.
Mwandishi wa barua ile si Mwislamu
Mhariri,
Kero yangu ni kwamba ninapinga Barua ya Wasomaji iliyochapishwa kwenye gazeti hili wiki iliyopita. Barua ile imejaa uongo, unafiki na uzandiki. Waislamu wa leo si wa kupelekeshwa na media propaganda.
FRANCIS MBENNA:
Brigedia Jenerali (mstaafu) wa JWTZ anayetimiza umri wa miaka 83
* Atoboa siri ya mafanikio yake
Kesho ni siku muhimu kwa Brigedia Jenerali (mstaafu) Francis Xavier Mbenna, anayetimiza umri wa miaka 83 ya kuzaliwa. Mwanajeshi mstaafu huyu, mkazi wa jijini Dar es Salaam, alizaliwa Julai 31, 1930 huko Likese Masasi, mkoani Mtwara.
Tumepoteza lengo la Siku ya Mashujaa
Katika kuwajali mashujaa waliopigania Uhuru na heshima ya Tanzania mwaka 1968, Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha TANU chini ya uongozi wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, iliamua kuweka siku maalum ya kuwaenzi mashujaa hao. Ikachaguliwa Septemba Mosi kila mwaka iwe Siku ya Mashujaa Tanzania.