Category: MCHANGANYIKO
Hofu yatanda uwekezaji Kurasini
. Wanaohamishwa hawajui watakacholipwa
. RC Dar, diwani wawataka wavute subira
. Tibaijuka, Nagu watafutwa bila mafanikio
Hofu ya kuchakachuliwa fidia imetanda miongoni mwa wananchi wanaohamishwa kupisha ujenzi wa Kituo cha Uwekezaji cha Kimataifa katika Kata ya Kurasini, jijini Dar es Salaam.
Mradi huo utajengwa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na China katika eneo lenye ukubwa wa hekta 670 (sawa na ekari 1,675). Inaelezwa kuwa kiasi cha Sh bilioni 90.4 kimetengwa kugharimia ujenzi huo.
NUKUU ZA WIKI
Julius nyerere: Usipowapa wengi watanyakua
“Utaratibu wowote unaowanyima wengi haki yao hauwezi ukaitwa demokrasia… Waswahili wanasema: Wengi wape, usipowapa watanyakua wenyewe.”
Haya ni maneno ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, wakati akihimiza demokrasia ya kweli.
Muhudumu Muhimbili aeleza vibweka vya mochari
Ni kawaida kwa vijana kuomba kazi katika ofisi za mashirika na taasisi mbalimbali za serikali na zisizo za kiserikali zenye mazingira mazuri kiutendaji, lakini imekuwa tofauti kwa vijana hao kuomba kazi katika Chumba cha Kuhifadhia Maiti (mochari). Hatua hiyo…
Utajiri wa Loliondo na laana yake (3)
Sehemu iliyopita, mwandishi alieleza namna watu wa koo za Boroko la Loita kutoka Kenya walivyoingia Loliondo na kuonekana ndiyo wakazi halali wa eneo hilo. Anaeleza pia chanzo cha mgogoro Loliondo akisema ni vita ya uchumi ambayo sasa imepata kasi kutokana na raia wa kigeni na NGOs zinazofadhiliwa na mataifa ya Ulaya na Marekani. Endelea.
Ijue historia fupi ya Nelson Mandela
Nelson Rolihlahla Mandela ni Rais wa kwanza Mwafrika wa Afrika Kusini ya kidemokrasia. Ni mtu aliyejijengea heshima kubwa duniani kutokana na jitihada zake kubwa zilizofanikisha uhuru wa nchi hiyo na nyinginezo katika Bara la Afrika.
Hofu yatanda uwekezaji Kurasini
. Wanaohamishwa hawajui watakacholipwa
. RC Dar, diwani wawataka wavute subira
. Tibaijuka, Nagu watafutwa bila mafanikio
Hofu ya kuchakachuliwa fidia imetanda miongoni mwa wananchi wanaohamishwa kupisha ujenzi wa Kituo cha Uwekezaji cha Kimataifa katika Kata ya Kurasini, jijini Dar es Salaam.