JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

NIRC yasaini mkataba wa Bilioni 17 ukarabati Skimu za Umwagiliaji bonde la Mto wa Mbu Arusha

📌NIRC, Monduli SERIKALI ya Awamu ya Sita ,kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), imesaini Mkataba Wa kukarabati skimu zilizopo katika bonde la Mto wa Mbu Wilayani Monduli, kwa gharama ya shilingi bilioni 17 Mradi huo unajumuisha ukarabati wa mifereji…

Dk Biteko ateta na Jumuiya ya wasambazaji wa mitungi ya gesi nchini

📌Awashukuru kwa mchango wao utekelezaji Mkakati wa Nishati Safi ya Kupikia 📌 Ataka LPG ipatikane kwa wingi hadi ngazi ya Vijiji 📌 Ahimiza Tanzania kuwa kitovu cha usambazaji LPG Afrika Mashariki 📌 Tanzania yaendelea kupigiwa mfano Kimataifa matumizi ya Nishati…

Mhandisi Bwire: Tunairudisha DAWASA kwa wananchi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAIMU Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Mhandisi Mkama Bwire amesema wanakusudia kurejesha Mamlaka hiyo kwa wananchi ili kutoa fursa na na nafasi ya kufikisha…

Tanzania yajikita kuvutia wawekezaji katika mkutano wa biashara na wawekezaji Ufaransa

Mkutano wa Biashara na Uwekezaji (Business and Investment Forum) uliofanyika kwa siku mbili katika Mji wa Marseille, nchini Ufaransa, kuanzia Februari 11 hadi 12 mwaka huu, umefungua fursa mpya kwa Tanzania katika kuvutia wawekezaji wa kimataifa. Ujumbe kutoka Tanzania, uliongozwa…

Operesheni ya kuwadhibiti fisi Simiyu yaonesha mafanikio makubwa

📍 Zaidi ya Fisi 16 wavunwa. Na Mwandishi Wetu, Jamuhuri Media , Simiyu Oparesheni maalumu ya kuwadhibiti wanyamapori wakali na waharibifu aina ya fisi waliokuwa wanaleta taharuki na madhara Kwa jamii inayoendelea Mkoani Simiyu imeonesha mafanikio makubwa baada ya fisi…