Category: MCHANGANYIKO
Walemavu wa viungo wanaweza kuchangia uchumi wa Taifa
Na Daniel Limbe, JamhuriMedia,Geita “Kulemaa viungo siyo kulemaa akili” Maneno haya yana akisi wazi kuwa unaweza kuwa na udhaifu wa viungo au kukosekana kwa baadhi ya viungo vya mwili wako lakini bado ukawa na akili ya kukusadia kuyafikia malengo yako…
Franone Mining wasaidia vyakula vya mil.31/- waathirika wa mafuriko Simanjiro
#Kaya 55 zakosa mahali pa kuishi Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro Mwekezaji mzawa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Franone Mining inayomiliki Kitalu C Onesmo Anderson Mbise wa machimbo ya Tanzanite katika Mji Mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara ametoa…
NIDA waanza ugawaji vitambulisho Mkoa wa Dar es Salaam
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inapenda kuwajulisha wananchi katika Wilaya zote za Mkoa wa Dar es Salaam kuwa ugawaji wa vitambulisho kwa umma unatarajia kuanza tarehe 12/12/2023 katika wilaya zote za mkoa huo. Hivyo, wananchi wote waliosajiliwa na kupatiwa Namba…
Dk Yonazi aipongeza Muhimbili kupeleka msaada wa msaikolojia tiba,dawa na vifaa Hanang
Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi ameipongeza Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa kupeleka msaada wa dawa, vifaa tiba pamoja Msaikolojia Tiba kwa wananchi wa Mji mdogo wa Katesh Wilayani Hanang, Mkoani manyara…
Rais Samia asikia kilio cha wakazi Usimba
Na Allan Vicent, JamhuriMedia, Kaliua RAIS wa Awamu ya Sita Dk Samia Suluhu Hassan amesikia kilio cha ukosefu wa shule ya msingi kwa wakazi wa Kijiji cha Magele kata ya Usimba Wilayani Kaliua kwa kuamua kuwapelekea zaidi ya sh mil…