JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Serikali yawataka wananchi kufunga kifaa cha kuzuia athari za umeme majumbani

📌 Lengo ni kujilinda na athari za umeme 📌 Kapinga ataja juhudi zinazofanywa na Serikali kuimarisha hali ya umeme Jimbo la Segerea 📌 Asema usambazaji umeme vijijini unaendelea, vitongoji 4000 kupatiwa umeme 2024/2025 na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu waziri…

Rais Samia afungua nchi kimataifa

📌 Diplomasia ya Kiuchumi yainadi Tanzania kimataifa 📌 Marekani yasaka fursa uwekezaji Sekta ya Nishati 📌 Dkt. Biteko ataja maono ya Rais Dkt. Samia kiini cha ujio wa wawekezaji Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu…

UVCCM waiomba Serikali kuufungia mtandao wa Twitter

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jumuiya ya Umoja wa Vijana Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umeiomba Serikali kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kuufungia mtandao wa Twitter (X) kutokana na maudhui yake kutokuendana na mila na…

Serikali imelipa wazabuni kiasi cha bilioni 949 hadi Machi, 2024

Serikali imesema kuwa hadi Machi 2024 imelipa jumla ya shilingi bilioni 949.31 sawa na asilimia 92 ya madeni ya wazabuni wa bidhaa na huduma pamoja na wakandarasi yaliyohakikiwa kati ya madai yaliyowasilishwa yenye thamani ya shilingi trilioni 1.03. Hayo yamesemwa…

Mambo 10 makubwa aliyofanya Zuhura Yunus akiwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwezi Februari 2022, Zuhura Yunus alianza kazi rasmi kama Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, baada ya kuteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi hiyo. Zuhura alipata uteuzi…

Wafanyabiashara Kariakoo wamwangukia Rais Samia tozo TRA

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia Dar es Salaam JUMUIYA ya wafanyabiashara Kariakoo wamemuomba Rais Dk Samia Suluhu Hassan kutoa maelekezo kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kushughulikia tozo zote mizigo ikiwa bandarini kusaidia kuondoa usumbufu bidhaa zinapoongizwa sokoni. Hayo yamebainishwa leo, Juni…