JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Tanzania yaisihi Marekeni kuendeleza mchango katika kutokomeza UKIMWI

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na Mataifa ya Afrika Kusini na Msumbiji yameisihi Serikali ya Marekani kuidhinisha fedha zitakazochangia katika mwitikio wa UKIMWI kupitia Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani…

Maambukizi ya malaria yapungua mjini Tabora, vijijini bado

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Maambukizi ya malaria yametajwa kupungua kwa kiasi kikubwa katika maeneo ya mjini huku hali ikiwa bado mbaya vijijini mkoani Tabora. Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kitengo cha kudhibiti Malaria Manispaa ya…

Kongwa kuwa kituo cha urithi wa taifa

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali kupitia Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Kongwa mkoani hapa imesema ina mpango wa kuboresha miundombinu katika maeneo ya kihistoria wilayani hapo ili kuwa moja ya sehemu zitakazovutia watalii. Hayo yameelezwa mwishoni mwa wiki na Mkuu…

Dk Biteko atunuku vyeti kwa wahitimu 439 Chuo cha Mweka

📌 Awataka kuchukia rushwa na kulinda Maliasili kwa Wivu Mkubwa 📌Apongeza Wizara ya Maliasili na Utalii kwa usimamizi wa Sekta Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametunuku vyeti vya ngazi…