JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Korea yatoa bilioni 422 ujenzi wa Hospitali ya Binguni

Serikali ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Korea zimesaini Mkataba wa Mkopo nafuu wa Shilingi bilioni 422.16 kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Binguni, Zanzibar. Mkataba wa Mkopo huo umesaimiwa jijini Soeul Juni 05, 2024 na…

Uwekezaji wa kweli ni katika sekta ya nishati safi ya kupikia – Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameiambia dunia kuwa uwekezaji wa kweli katika nishati ni kuwekeza katika nishati safi ya kupikia barani Afrika. Rais Samia ametoa kauli hiyo wakati anahutubia Mkutano wa Wakuu wa Nchi…

Ziara ya Rais Samia Korea kuivusha Tanzania

Na Deodatus Balile, Seoul,Korea “Ukijumulisha dola bilioni 6.4 za Uturuki, ukaongeza angalau dola milioni 500 zitakazotokana na Nishati Safi ya Kupikia za Ufaransa kati ya hizo dola bilioni 2.2 zilizochangwa, ukaweka dola bilioni 2.5 za Korea Kusini, ni wazi katika…

Wabunge waipa tano Serikali kwa kutangaza utalii na kuongeza idadi ya wageni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma¹ Baadhi ya wabunge wamepongeza juhudi za Serikali katika kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo nchini hasa kupitia filamu ya Tanznaia the Royal Tour na amaizing Tanzania iliyozinduliwa hivi karibuni nchini China. Akichangia mjadala wa bajeti ya…