Category: MCHANGANYIKO
NATO yaionya China
BRUSSELS, UBELGIJI Jumuiya ya NATO imetoa onyo kali kwa China dhidi ya harakati zake za kujiimarisha kijeshi lakini ikasema kauli yake hiyo haimaanishi kuwa ipo tayari kuingia kwenye vita baridi na nchi hiyo ya Mashariki ya Mbali. Wakizungumza katika kikao…
Marekani yapanga kwenda Sayari ya Venus
WASHINGTON, MAREKANI Shirika la Anga za Mbali la Marekani (NASA) limepanga kurusha vyombo viwili kwenda kwenye Sayari ya Venus. Shirika hilo limetangaza hivi karibuni kuwa limepanga kufanya safari mbili zitakazofanyika katika kipindi cha miaka 30 ijayo. “Safari hizi mbili zinazohusiana…
Italia na Cattenacio yao, Ureno na Ronaldo wao
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Michezo ya mzunguko wa pili michuano ya mataifa Ulaya maarufu kama EURO 2020, imeanza wiki iliyopita. Kila taifa limeshacheza mchezo mmoja, huku baadhi ya mataifa yakicheza michezo miwili. Michuano hiyo ya mwezi mmoja iliyopaswa…
KING ENOCK… Mwalimu wa muziki wa dansi
TABORA Na Moshy Kiyungi Mzaliwa wa Zambia, Michael Enock, aliyekuja kutambulika baadaye kama ‘King’ au ‘Teacher’, aliingia nchini mwaka 1960 na kuwa nguzo ya muziki wa dansi. Pamoja na sifa kubwa alizokuwa nazo miongoni mwa mashabiki wa muziki na hata…
Gesi Mtwara na mguso kwa jamii ya Lindi
Na Christopher Lilai, Lindi Lindi ni miongoni mwa mikoa ambayo bomba kubwa la gesi asilia itokayo mkoani Mtwara limepita kuelekea Kinyerezi jijini Dar es Salaam. Kwa kiasi kikubwa gesi hiyo inatumika kufua umeme wa viwandani na majumbani kwa kiasi kidogo….
Hongera DPP, lakini…
Amani ni tunda la haki. Bila haki amani haipo. Bila haki manung’uniko na vilio hutamalaki. Tunaipongeza Serikali ya Awamu ya Sita kwa kusimamia suala la haki, na kwa namna ya pekee tunaipongeza Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) kwa kuonyesha…