Category: MCHANGANYIKO
Waziri Pembe ahimiza amani wakati wa uchaguzi
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Riziki Pembe Juma, amewataka Maafisa, Wakaguzi na Askari wa Jeshi la Polisi kuendelea kuimarisha Amani na usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ili uchaguzi huo ufanyike katika hali ya utulivu. Akizungumza katika…
Mbio za Urais 2025, vyama 17 vyapeta, ACT Wazalendo nje
Mbio za Urais 2025: Vyama 17 Vyaidhinishwa, ACT Wazalendo Nje Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) leo Agosti 27, 2025, imetangaza orodha ya wagombea wa urais watakaoshiriki katika Uchaguzi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa…
Dk Biteko azindua teknolojia ya kuondoa uvimbe mwilini bila upasuaji
📌 Ni kwa mara ya kwanza kufanyika Afrika Mashariki na Kati 📌 Aipa kongole Hospitali ya Kairuki kwa kutoa punguzo la asilimia 50 kwa wagonjwa 50 wa kwanza 📌 Asema Serikali itaendelea kuweka msukumo ushirikiano na Sekta binafsi 📌 Awaasa…
Mndolwa awataka watumishi wapya NIRC kuzingatia uadilifu katika utumishi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), Bw. Raymond Mndolwa, amewataka watumishi wapya wa NIRC kutumia maarifa na ujuzi walionao ili kufanikisha malengo ya Tume na kuzingatia uadilifu katika utendaji. Amesema kila mtumishi…
REA yaendelea kuwaunganishia umeme wananchi Manyara
📌Bodi ya REA yashuhudia wananchi wakiunganishiwa umeme 📌Vijiji vyote 440 vimeunganishwa na umeme Manyara 📌Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya REA watakiwa kumaliza kazi kwa wakati 📌Elimu umuhimu wa huduma ya umeme kwa wananchi yatolewa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara Serikali kupitia…





