JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TANESCO kulipa milioni 1/- kwa watakaofichua wanaohujunu miundombinu – Msaki

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Wananchi wanasisitizwa kufichua wahalifu wanaohujumu miundombinu ya umeme (TANESCO),ikiwa ni pamoja na wanaoiba transfoma, nyaya na kuchezea mita, na yeyote atakayefichua watu hao atapatiwa donge nono kuanzia sh. 100,000 hadi sh. 1,000,000. Ofisa Uhusiano na…

TPA yasaini makubaliano na wadau uendeshaji bandari Kavu Kwala

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za serikali pamoja na sekta binafsi zinazotoa huduma katika Bandari ya Dar es Salaam wametia saini makubaliano ya taratibu za uendeshaji,…

Majina ya wagombea CCM yabaki kitendawili, mkutano wasogezwa tena

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Mchakato wa kutangaza rasmi majina ya wagombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa Uchaguzi Mkuu wa 2025 unaoongozwa na Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, umeendelea kusogezwa mara kadhaa huku waandishi wa…

Ofisi ya Msajili wa Hazina yalenga kukusanya Sh2 trilioni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imejiwekea lengo la kukusanya kiasi cha Sh 2 trilioni kama mapato yasiyo yakikodi katika mwaka wa fedha 2025/26, imebainishwa. Hayo yalisemwa Jumatatu, Julai 28, 2025, na Msajili wa Hazina…

Hatma ya watia nia CCM sasa kujulikana leo Julai 29

Mbivu na mbichi za wagombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi ujao kujulikana leo Julai 29,2025 saa nne asubuhi baada ya kazi hiyo kushindwa kukamilika jana kama ilivyokuwa imefahamishwa. Jana Julai 28,2025 Katibu wa…

Waziri Kombo asifia nchango wa Africa CDC katika kulinda afya ya Afrika

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amefanya ziara katika Makao Makuu ya Kituo cha Afrika cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (Africa CDC) jijini Addis Ababa, Ethiopia ambapo amepongeza juhudi za…