Category: MCHANGANYIKO
Haiti yatangaza hali ya hatari
Serikali ya Haiti imetangaza hali ya hatari na amri ya kutotoka nje usiku. Watu hawataruhusiwa kutoka nje kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi saa 11 alfajiri ili kurejesha udhibiti wa nchi baada ya gereza kuu kuvamiwa na genge la…
JKCI yaombwa kutoa elimu ya lishe
Na Mwandishi Maalumu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam wameiomba Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kuendelea kutoa elimu ya lishe bora ambayo itawasaidia kuepukana na magonjwa yasiyoambukiza yakiwemo magonjwa ya moyo. Ombi hilo limetolewa…
Mwekezaji adaiwa kuharibu mashamba, wanawake wamlilia mama Samia Lupunga Pwani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Kaya zaidi ya 900 za Kijiji cha Lupunga, mkoani Pwani wamo hatarini kukumbwa na njaa baada ya kinachodaiwa mwekezaji kuvamia mashamba na kuharibu mazao kinyume cha sheria. Akizungumza hivi karibuni kwa niaba ya wananchi, Mwenyekiti…
Dk Ibenzi aeleza namna Serikali ilivyoitua mzigo Hospitali ya Rufaa Dodoma
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Waganga wafawidhi wa hospital za rufaa Tanzania bara Dk. Stanslaus Ibenzi ameeleza kuwa kwa sasa Hospitali hiyo haielemewi na wagonjwa kutokana na Serikali kuwekeza…
Rais Samia aongoza wananchi kutoa heshima za mwisho kwa Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi Zanzibar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza jambo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi wakati wa Hafla ya kutoa Heshima za mwisho kwa Rais Mstaafu wa awamu…





