JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Biteko azindua teknolojia ya kuondoa uvimbe mwilini bila upasuaji

📌 Ni kwa mara ya kwanza kufanyika Afrika Mashariki na Kati 📌 Aipa kongole Hospitali ya Kairuki kwa kutoa punguzo la asilimia 50 kwa wagonjwa 50 wa kwanza 📌 Asema Serikali itaendelea kuweka msukumo ushirikiano na Sekta binafsi 📌 Awaasa…

Mndolwa awataka watumishi wapya NIRC kuzingatia uadilifu katika utumishi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), Bw. Raymond Mndolwa, amewataka watumishi wapya wa NIRC kutumia maarifa na ujuzi walionao ili kufanikisha malengo ya Tume na kuzingatia uadilifu katika utendaji. Amesema kila mtumishi…

REA yaendelea kuwaunganishia umeme wananchi Manyara

📌Bodi ya REA yashuhudia wananchi wakiunganishiwa umeme 📌Vijiji vyote 440 vimeunganishwa na umeme Manyara 📌Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya REA watakiwa kumaliza kazi kwa wakati 📌Elimu umuhimu wa huduma ya umeme kwa wananchi yatolewa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara Serikali kupitia…

Jela maisha kwa kumkaba mwanafunzi wa darasa la tano

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Singida imemuhukumu mkazi wa Kijiji cha Ighombwe,Tarafa ya Sepuka,wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida,Emanueli Musa (27) kutumikia adhabu ya kifungo cha maisha jela baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumbaka…