Category: MCHANGANYIKO
Balozi CP Kaganda apokea ujumbe kutoka Tanzania kushiriki mkutano wa kikanda wa RAMSAR
Na Mwandishi Ubalozi wa Tanzania Nchini Zimbabwe Balozi wa Tanzania nchini Jamhuri ya Zimbabwe CP Suzan Kaganda amempokea Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (Mb), alieongoza ujumbe wa Tanzania kwenye…
Mamia wajitokeza kumzika mke wa Manyerere na Naibu Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Jamhuri
Na Berensi China, JamhuriMedia, Butiama Mamia ya wananchi wa Kijiji cha Butiama mkoani Mara na maeneo ya jirani ya Mkoa wa Mwanza, Dar es Salaam na Arusha wamejitokeza katika mazishi ya aliyekuwa mke wa Naibu Mkurugenzi wa Kampuni ya Jamhuri…
TCCIA yakaribishwa kujionea fursa Songwe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe Mkuu wa Wilaya ya Songwe Fadhil Nkurlu, ameikaribisha Chemba ya Biashara,Viwanda na Kilimo Tanzania(TCCIA) kutembelea wilaya ya Songwe na kujionea fursa mbali mbali za kiuwekezaji na kibiashara. Nkurlu alitoa ukaribisho huo jijini Dar es Salaam alipotembelea ofisi…
Mfumo wa ufundishaji wa mubashara mbioni kutumika nchini
Na James K. Mwanamyoto OR-TAMISEMI Waziri Mchengerwa ameeleza azma ya Serikari ya Awamu ya Sita ya kuhakikisha Mfumo wa Ufundishaji Mubashara (live teaching) unaanza kutumika nchi nzima ili kumuwezesha mwalimu kutoka katika kituo kimoja kufundisha wanafunzi wengi kwa wakati mmoja…
Waziri Mkuu atembelea ubalozi wa Tanzania Muungano wa Falme za Kiarabu Abudha
PMO 7300 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Ubalozi wa Tanzania katika Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) alipotembelea ubalozi huo uliopo Abudhabi, Julai 25, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wawili mbaroni kwa tuhuma za kuwaua watoto watatu kwa kuwachinja shingo Ruvuma
Na Cresensia Kapinga, JamhutiMedia, Songea. Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma linawashikilia watu wawili na mwingine wanaendelea kumsaka kwa tuhuma za mauaji likiwemo la mwanamke mmoja kuwauwa watoto watatu kwa kuwachinja shingo na kitu chenye ncha kali wilayani Namtumbo. Akizungumza na…