JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais Samia aongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM Zanzibar

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kilichokutana tarehe 15 Januari, 2024 Mjini Unguja Zanzibar.

Meneja TANROAD Ruvuma afariki ghafla wakati akishiriki mbio za Km 5

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROAD) Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Mlima Ngaile amefariki dunia leo asubuhi wakati akishiriki mbio za Wiloles Foundation Marathon 2024 yenye lengo la kuchangia matibabu ya watoto waliozaliwa kabla ya muda…

Ziara ya Dk Biteko mkoani Mtwara yachangia mitambo iliyosimama kuanza kuzalisha umeme

📌Kituo cha Afya Msimbati chaanza kujengwa 📌Wananchi Songosongo nao hawajasahaulika 📌RC Mtwara amshukuru Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Ahmed Abbas Ahmed ameeleza kuwa, ziara aliyofanya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Biteko…

TANESCO yaimarisha hali ya upatikanaji umeme Tunduru, Nanyumbu na Masasi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tunduru Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limejidhatiti katika kuhakikisha huduma ya umeme inaimarika kwa wilaya za Tunduru, Nanyumbu na Masasi. Amesema hayo Mkurungenzi Mtendaji wa TANESCO Gissima Nyamo-Hanga tarehe 10 Januari 2024 wakati alipotembelea Kituo kipya cha…

Mbunge Cherehani : Wananchi jitokezeni Uchaguzi Serikali za Mitaa

Na Mathias Canal, JamhuriMedia, Ushetu-Kahama Wananchi wametakiwa kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwaka huu 2024. Mbunge wa Jimbo la Ushetu mkoani Shinyanga Emmanuel Cherehani ameyasema hayo tarehe jana wakati akizungumza na wananchi wa…