JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wananchi vijijo vya Likwela, Unyoni waipongeza Serikali kuwafikishia huduma ya umeme

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Mbinga WANANCHI wa vijiji vya Likwela na Unyoni vilivyopo kata ya Unyoni Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma wameipongeza serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia…

Pinda awafariji ndugu wa waliopoteza maisha kwa ajali ya mtumbwi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mlel Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa Jimbo la Kavuu katika halmashauri ya Mpimbwe mkoa wa Katavi Mhe. Geophrey Pinda amewatembelea na kuwafariji wananchi wa kijiji cha Ukingwamizi katika kitongoji…

Mtuhumiwa wa Dawa za kulevya na Mauaji Arusha mbaroni

Na Mwandishi Jeshi la Polisi Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema mei 29, 2024 muda wa saa 08:22 mchana huko katika maeneo ya Elerai Jijini Arusha walifanikiwa kumkamata Peter Mwacha (18) dereva bajaji na mkazi wa Sombetini Jijini…

TANESCO Ruvuma yawatahadharisha wananchi kuwa makini na matapeli

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Mbinga AFISA uhusiano wa huduma kwa wateja TANESCO Ruvuma, Allan Njiro, amewatahadharisha wananchi wa vitongoji vya Matemanga na Mkurusi vilivyopo katika kata ya Kigonsera Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga vijijini mkoani Ruvuma kuwa makini na watu…