JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waziri Lukuvi atoa maagizo ya Rais Samia ajali ya mgodi Nyandolwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Waziri wa nchi Ofisi ya waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge William Lukuvi akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo kwa viongozi wa Serikali waliopo maeneo ya ajali…

JKCI yaonyesha matumaini kwa wazazi wa watoto wenye shida ya moyo Sinyanga

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Changamoto ya kiuchumi kwa jamii imekuwa ni kikwazo kwa baadhi watoto  kuendelea na matibabu ya moyo hali iliyosababisha kuchelewa kupata matibabu ambayo yangeokoa maisha yao. Hayo yamesemwa jana na daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa…