JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

CUF : Kupiga kura ndio njia pekee ya kumchagua kiongozi unayemtaka

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo, amewaasa wananchi kujitokeza kwa wingi kwenye zoezi la kupiga kura, akisisitiza kuwa ndio njia  pekee itakayowezesha kumchagua kiongozi wanayemtaka. Pia…

Samia: Watanzania msikubali kuchokozeka

Na Kulwa Karedia Jamhuri Media, Pemba MGOMBEA urais Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi kutokubali kuchokozwa. Amesema wakichokozeka watahatarisha amani ya nchi kwa sababu ya uchaguzi jambo ambalo halina tija Dk. Samia ambaye pia ni Amiri…

Mbarawa Pemba inakwenda kufunga kiuchumi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pemba Waziri wa Uchukuzi na mgombea ubunge Jimbo la Mkoani, Makame Mbarawa amesema uwanja wa ndege wa Pemba unajengwa na kuwa wa kimataifa. Mbarawa ametoa kauli hiyo septemba 20, 2025 alipopewa nafasi ya kusamilia maelfu ya…

Abdullah awasihi wananchi Pemba ‘wasichokozeke’

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Pemba Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah na mgombea Uwakilishi Jimbo la Kiwani amesema kipindi hiki wananchi wanapaswa kuendelea kudumisha amani ili wampe nafasi mgombea urais wa…

Aboud atuma salamu kiaina

Na Mwandishi wetu, Jamhuri Media, Pemba Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Mratibu wa Kampeni Kanda ya Pemba, Mohamed Aboud amesema Watanzania wa pande zote mbili sasa wanaishi kwa amani na mshikamno mkubwa. Amesema hayo Septemba 20,2025 alipopewa nafasi…